Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,157
- 2,664
Watu wa Carribean sijui wanaishije, kwny youtube nimeangalia staili za maisha yao mpaka disco zao zilivyo kwa kweli wana kautaratibu fulani ambao huku Africa sijui kama tunaishi kama wao.
Zaidi zaidi disco zao wanawake wanasimama upande mmoja wanaume nao upande wa pili kule, panapochanganyika ni wale wanaocheza tu music, ila wadada wanacheza kingono ngono mno kama vile staili mbuzi kagoma na wainama kabisa, sura zao zimekaa kama dizaini kama sura ya Jay Z na wadada nguo zao unaweza ukakimbia, hapa bongo wadada wanavaa kistarabu sana, kule Carribean kwny madisco wadada wanavaa manguo ambayo mpaka ndani unaona bila chenga...kweli kila nchi ina style ya kimaisha
Zaidi zaidi disco zao wanawake wanasimama upande mmoja wanaume nao upande wa pili kule, panapochanganyika ni wale wanaocheza tu music, ila wadada wanacheza kingono ngono mno kama vile staili mbuzi kagoma na wainama kabisa, sura zao zimekaa kama dizaini kama sura ya Jay Z na wadada nguo zao unaweza ukakimbia, hapa bongo wadada wanavaa kistarabu sana, kule Carribean kwny madisco wadada wanavaa manguo ambayo mpaka ndani unaona bila chenga...kweli kila nchi ina style ya kimaisha