Queen darleen

Queen darleen

milkfish

Member
Joined
May 11, 2011
Posts
11
Reaction score
7
Habari wanajf, leo nilibahatika kuangali EATV kipindi kinaitwa 5 selekt (siyo select). Msanii Queen darleen alikuwa studio anahojiwa, aliulizwa ni msanii gani alimvutia kuingia kwenye muziki (inspirational artist or role model). Akajibu kuwa nje ya nchi ni EVE lakini hapa bongo alisema hakuna kwakuwa yeye alipoanza hakukuwa wasanii wa kike zaidi yake na Jide!! Nilijiuliza hivi yeye na unique dadaz, zay b, sister p na wengineo nani alitangulia?! Hata rah p nafikiri ni mkongwe kwake. Namshauri awe anajiandaa na studio interviews, asikurupuke. Asanteni.
 
Mkuu hyo dada ni Wa zamani sana kwny Game kuna uwezekano akawa anasema ukweli hyo zay b na uhakika alimkuta km unakumbuka nyimbo ya mtoto Wa geti kali ya inspecta zile sauti zinazoskika sauti ya kike ni hyo queen darleen Pia alikuwa anashirikishwa na msanii Wa kitambo sana mad x
 
Aisee huyo Mdada ni mkongwe mbona maana tangu enzi zile kina julieta na nyambizi za dullysykes.
 
Asante wakuu kwa kuniongezea kitu leo, vipi wale watoto wa dc kipozi (rahma, radhia na mdogo wao) aliwakuta au?
 
Mkuu hyo dada ni Wa zamani sana kwny Game kuna uwezekano akawa anasema ukweli hyo zay b na uhakika alimkuta km unakumbuka nyimbo ya mtoto Wa geti kali ya inspecta zile sauti zinazoskika sauti ya kike ni hyo queen darleen Pia alikuwa anashirikishwa na msanii Wa kitambo sana mad x

Ni mad max mkuu sio mad x mshkaji alikua na rasta flani wa mitaa ya kkoo. jammaa naona gemu imemshinda siku hizi. Queen kitambo kweli hata ile sauti ya inspekta sema basi unataka nini kwenye geti kali ni yake.
 
Habari wanajf, leo nilibahatika kuangali EATV kipindi kinaitwa 5 selekt (siyo select). Msanii Queen darleen alikuwa studio anahojiwa, aliulizwa ni msanii gani alimvutia kuingia kwenye muziki (inspirational artist or role model). Akajibu kuwa nje ya nchi ni EVE lakini hapa bongo alisema hakuna kwakuwa yeye alipoanza hakukuwa wasanii wa kike zaidi yake na Jide!! Nilijiuliza hivi yeye na unique dadaz, zay b, sister p na wengineo nani alitangulia?! Hata rah p nafikiri ni mkongwe kwake. Namshauri awe anajiandaa na studio interviews, asikurupuke. Asanteni.

Humjui queen wewe kizazi cha diamond
 
Ni mad max mkuu sio mad x mshkaji alikua na rasta flani wa mitaa ya kkoo. jammaa naona gemu imemshinda siku hizi. Queen kitambo kweli hata ile sauti ya inspekta sema basi unataka nini kwenye geti kali ni yake.

yap mkuu mad max nilikuwa namuona sana kkoo siku hizi simuon nadhan watakuwa wamehama kkoo
 
Back
Top Bottom