Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwishoni mwa mwaka huu kumetokea mambo kadhaa yaliyoleta msisimko mkubwa katika soko la filamu za kitanzania.... Issue iko hivi,Steps Entertainment ambaye anaaminika kuwa ndiye distributor...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Jamani wacheni utani, nimekatiza mitaa fulani hivi hapa Kimara, nikausikia wimbo wa malaw "pipii" ikabidi nisimame niusikilize nikajikuta napagawa nafuatisha ile mistari dah! Namkubali kichizi...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni ukweli kwamba bila jitihada sanaa haitakulipa. Msanii mwenye kuipenda kazi yake na mwenye dhamira ya kweli ya kuona matunda ya kazi yake, sharti ajitume sana ili afanikiwe. Nasisitiza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naongelea reality na sio ushabiki,nyimbo za huyu jamaa kiukweli hazinaga mvuto zimejaa masimulizi tu hazina vionjo wala nini hebu sikiliza wimbo wa cindelela,ya karimu,usiniseme,dushelele,na huu...
1 Reactions
90 Replies
12K Views
Wakuu bila shaka naufahamu wimbo USIZI uliopigwa na The Slaves. wengi wanadhani wimbo huu uliimbwa na Lucky Dube, lakini ukweli ni kwamba aliyeimba ni Thetukani Cele. Luky Dube alikuwa member tu...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii Diamond Platnumz achaguliwa kuwania Tuzo za Hiphop Music Awards pamoja na msanii Ommy Dimpoz watagombea katika category ya East Africa Super Hit kwa nyimbo ya Ndagushima ya Ommy Dimpoz na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Yeoooooooooooooooo! yaaah kama kawa naomba tujikumbushe hip hop za majuu zilinazo wika na zitaendelea kutamba katika ulimwengu wa muziki pendwa kabisa duniani namanisha mziki wa wakubwa hiphop...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu, Heshima mbele. Nimemaliza kuiangalia filamu ya vichekesho ya wamarekani iliyotengenezwa na kampuni ya sony. Filamu hii inahusu kipindi cha tv ambacho kilijizolea umaarufu mkubwa Marekani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni majira ya saa kumi kasoro jioni nikitoka zangu Arusha narudi zangu Dar ninapoishi.. Kutokana na ugumu wa maisha, nimebakiwa na shilingi 3,200 tu mfukoni hapo nikiwaza chakula cha jioni pamoja...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
'Habarini wana wa jamvi hili. Nilifikiria nitupie jukwaa la lugha ila nikaona yafaa iwe hapa ila hata kama ni mtaalam wa lugha pia si mbaya kama utaweza kunifumbua macho nami nikafaham maana...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
jamani mwenye hii track naomba anisaidie,
0 Reactions
12 Replies
19K Views
KWA WAPENDA MUSIC WA KUJIRUSHA WA DISCO HII HAPA BEST COLLECTION disco janu 2015
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MASHAIRI YA YOUNG KILLER - DEAR GAMBE. VERS 1; Dear gambe umefanya maisha yangu ya yumbe, MI nimpambe wako leo nimekutumia ujumbe, MI ndugu yako nipe ukweli usini fumbe, Uwepo wako karibu vp...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/watch?v=Wa_hw-VcX08
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Naomba mwenye hii album anisaidie
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Yani msanii badala ya kuimba anapiga mayowe tuu huku akiwaelekezea mashabiki maiki. Kiufupi miziki ya kibongo bora kusikiliza redion lakin sio kwenda kutazama kwenye show!! Sasa ninyi...
6 Reactions
92 Replies
9K Views
Anaitwa sudyson...katoa ngoma inaitwa AMENISAMEHE..!!kuipata ngoma hii...ingia..VMG Africa.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wakuu,nahitaji link ya kupata movie hiyo hapo juu....
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Jamani imefika wakati kuangalia vipaumbele vyetu japo msisitizo upo kwenye soka tusisahau vipaumbele vyetu na fani ipi angalau imeonyesha kutukubali! Pasi shaka burudani ama kwa kuigiza ama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
waione: Matola, Chachu Ombara, Dinazarde, farkhina
7 Reactions
122 Replies
34K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…