Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

A
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Hii nyimbo ni balaa sana kuna watu wanapewa sifa kama diamond na ally Kiba ila huyu jamaa ni kiboko balaa na anajua sana big up Belle 9
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimepata idea ya kuandika mistari na baadae kama ikiwezekana turekodi ngoma yetu inayozungumzia JamiiForums. Hapa nataka bars kadhaa kutoka kwa members tutengeneze kitu cha maana.
5 Reactions
73 Replies
6K Views
Hivi hawa kina Mzee Yusufu, khadija Kopa n.k hawaoni Kama video zao hazina quality hata kidogo, hlf Ukiangalia tuna directors wakali sana, AJ, Nisher, Khalfani, Hansscana, Pablo n.k , mashabiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lile kundi la mziki lilovuma miaka ya 90 na mwamzoni mwa miaka ya 2000 ECT lipo mbioni kurudi upya. Kundi hilo lililoundwa na wasanii kama King Crazy GK,AY, Mwana FA na wengineo lipo katika hatua...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
New drop,nimeipenda mashairi yake
0 Reactions
3 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/watch?v=RB-RcX5DS5A
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Binafsi sipendezwi kabisa na huu upuuzi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram na facebook Ni nani aniyezifadhiri hizi timu? mnafanya kazi kwa manufaa ya nani? Hivi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Tafadhalia naomba ambaye anaweza kunisaidia kupata hii tamthilia kwa lugha ya kkingereza , coz nimedownload baadhi ya episode but nikakuta ziko kwa llugha ya kifilipino. PLZ.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasanii wetu wa bongo movie wamekua na majina makubwa huku wengi wao wakiwa na hali mbaya kiuchumi.Wengi wamekua wakiitupia lawama kampuni ya muhindi ya Steps kuwa ndio inayowanyonya...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Habar waba jamii natumaini mko good. Nilikuwa naitaji msaada kwa mtu yeyote anayejua jinsi ya kudownloard series za waphilipino hasa the promise na nyinginezo anisaidie hasa kama kuna website au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Japo sio official release, lakini nimesikia hii nyimbo na naweza sema mashairi ya humu ni MOTO. Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchoka, Mara chumba cha fulani, mtu gani we kwako usiokaa...
0 Reactions
21 Replies
13K Views
Umofia Kwenu wana JF, Kumezuka tendency ya wasanii wa bongo kumshirikisha uhuru kwa sana,wasanii ambao wamemshirikisha uhuru ni madee,linah,mafikizolo etc,nikisikiliza hizo nyimbo hakuna sehemu...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Nyie kikundi cha Futuhi cha startv, kwa nini mnafikiri kwamba kushikana mashati, kuzabana vibao na kukimbizana ili kumkata mwingine mtama ni kichekesho? Mnaniudhi sana kwa jinsi mnavyokwaruzana...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
1. Afande Sele 2. Mr 2 3. Prof J 4. 20% 5. J MO 6. J. Nature 7. Jide ........... Afande Sele ndio msanii mwenye nyimbo zenye ujumbe zaidi unaoweza kusikilizwa na rika zote, na ujumbe...
1 Reactions
40 Replies
8K Views
February 6, 2015 marks what would been the 70th birthday of Bob Marley. And nearly 34 years after his cancer-related death in 1981, the reggae pioneer's songs of love, dissatisfaction, peace, and...
3 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari zenu wana jamvi!!!! kwa wale wanaopenda music wa HIP HOP ebu tupia mistari unayoipenda sana na kisha mtaje aliyeimba mfano. 'maisha ni safari,ambayo imekwisha kwa zake juhudi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa wanandoa mkipata huu wimbo sikilizeni...Mimi hua unanigusa sana nikihudhuriaga harusi pale watu wanapojifunga na ma sweet heart wao. Download hapo chini; Huyooo ni chaguo lako Umeomba...
0 Reactions
27 Replies
12K Views
Back
Top Bottom