Jamani naomba niulize, ni studio gan/ producer gan wa mziki hapa bongo mwenye kiwango cha juu karibia na kimataifa, anayeweza kutengeneza miziki mizuri ya RnB, POP, RocknRoll na Soul? Anaitwa nani...
Hatimae kampuni maarufu ya kitanzania ya kuhusu models na fashion kwa ujumla hatimae Leo kuzindua application Yao Playstore kuwezesha mashabiki na wateja wao kupata booking za photoshot na...
Film ya Selma ambayo kwa kifupi inaelezea maisha ya Martin Luther King Jr (Mmarekani na siyo Martini Luther Original wa kilutheri) yule mpigania Haki za Wamarekani weusi huko Marekani naona kama...
IMEKULA kwake!
Wasanii wa sinema na Bongo Fleva wamemchana vibaya staa wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond' kwamba si mtokaji kwenye misiba ya wenzake.Wakizungumza na...
Nani atabisha? Walikuepo akina Irene Sanga na akina Mpoto, wakatuamsha, tukawafuata, tukaburudika, tukajifunza!!
Lakini ghafla wamebadilika, nyimbo zile za kutuamsha zimebadilika na kuturudisha...
Zanzibari butterfly to host an alluring Fashion Night In
The countdown has begun as the fashion world and Tanzania prepares itself for an evening of style like never seen before. Dubbed the GO...
Ni miongoni mwa wasanii wachache waliofanikiwa kumaintain kwenye game hii ya bongo yenye vikwazo kibao, ameweza kutoa nyimbo nyingi zilizofanikiwa kubamba kwenye Redio na Tv's ingawa sina hakika...
Makali ya huyu kijana yameanza kuisha, sio muda mrefu asipojicheki atashuka hadi ajishangae, huu mziki hakuna anaekaa forever, walikwepo kina Mr. Nice, Juma Nature, Matonya, Hussein Machozi...
DOWNLOAD MIZIKI YA BONGO FOR FREE AU NUNUA ILI KUWAPA MOYO WASANII WETU WA BONGO. SEARCH MSANII UNAYEMPENDA NA KUPAKUA NYIMBO ZAKO..HIYO SITE NDO HABARI YA MJINI...
V for Vendetta, ni filamu kali yenye inspiring political quotes.
Its a never miss, unstoppable movie.
EG
Artists use lies to tell the truth. Yes, I created a lie. But because you believed it...
Kama kuna wimbo diamond alipatia sana ni ukimuona... Melody nzuri, beat nzuri na mashairi mazuri jamaa inabidi arudi kwa producer wa manecky.
Sasa leo nimesikia guiter version kaimba bella ni tamu...
Kama wewe ni mguswa wa wimbo wa Mdogo Mdogo wa Diamond, basi hapa chini ni video ikionyesha pilika pilika za utengenezaji video ya mdogo mdogo.
http://youtu.be/3mD1Sv-p7cI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.