Naulizia studio ya mziki

Naulizia studio ya mziki

mangelengele

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,293
Reaction score
1,102
Jamani naomba niulize, ni studio gan/ producer gan wa mziki hapa bongo mwenye kiwango cha juu karibia na kimataifa, anayeweza kutengeneza miziki mizuri ya RnB, POP, RocknRoll na Soul? Anaitwa nani na Studio zake zpo wap? Nagharama zao zpoje kwa Audio moja? Co wale wanaojua Zouk na Afropop tu. Naomba nisaidiwe kwa hili wana JF
 
Back
Top Bottom