Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
Makali ya huyu kijana yameanza kuisha, sio muda mrefu asipojicheki atashuka hadi ajishangae, huu mziki hakuna anaekaa forever, walikwepo kina Mr. Nice, Juma Nature, Matonya, Hussein Machozi, Inspector Haroun na wengine wengi tu waliokwishawika, ila hakuna marefu yasiyo na ncha.
Kijana naona ni yeye na bata tu siku hizi, kilichomfanya ale hizo bata hakithamini tena, mziki kama soka, kijana asipojikaza atashuka tu hadi ajishangae.
Kijana naona ni yeye na bata tu siku hizi, kilichomfanya ale hizo bata hakithamini tena, mziki kama soka, kijana asipojikaza atashuka tu hadi ajishangae.