upupu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2008
- 614
- 198
Mpaka sasa kwenye sikio langu sijasikia wimbo mkali wa kuachwa wenye hisia kama wa Kassim uitwao Awena.
Jamaa kwenye huu wimbo amelalamika, amelilia mapenzi vibaya mno, yale mashairi yanaweza kukuliza kama umekutwa na tukio hilo.
Wadau kama kuna nyimbo nyingine kali nitajieni nizitafute,Mwezi wote huu nitaomboleza kwa kusikiliza nyimbo za kuachwa.
Jamaa kwenye huu wimbo amelalamika, amelilia mapenzi vibaya mno, yale mashairi yanaweza kukuliza kama umekutwa na tukio hilo.
Wadau kama kuna nyimbo nyingine kali nitajieni nizitafute,Mwezi wote huu nitaomboleza kwa kusikiliza nyimbo za kuachwa.