kwenu team diamond ali kiba wema zari diva etc

kwenu team diamond ali kiba wema zari diva etc

GABRAISON5

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2013
Posts
208
Reaction score
44
Binafsi sipendezwi kabisa na huu upuuzi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram na facebook
Ni nani aniyezifadhiri hizi timu?
mnafanya kazi kwa manufaa ya nani?
Hivi mnajisikiaje kutukanana kila siku kisa hao watu wenu?
ni lini mtaacha huu upuuzi?
kwanini msifanye yanayowahusu?
acheni hiyo tabia mnajidharirisha na mnawashushia heshima wazazi wenu. Igeni kwa nchi za wenzetu hata hawafanyi huu upuuzi
Mwisho wa mwaka mtuletee hesabu ya faida mliyoipata kwa huo upuuzi mnaoufanya
 
Back
Top Bottom