JamiiForums special track

JamiiForums special track

Huu ni mtandao
Unao waudhi mafarao
Wafungue kwenye simzao
Wafuatilie hii midundo
Kila mada utaipata
Hats ukiwa msata

Mwanga lutila nachana

usiku na mchana japo sina kitana

jamiiforums sitahama

japo kwa wengine ni lawama


kwa habari yeye ndio mama


jamiiforums ni zaidi ya kalamu

nami napata hamu

maxence melo ni hero

japo hakukaa sero
 
matumbo tulia nikupe vina
Naona una mistari laini kama losheni
Nakupa mistari mitamu zaidi ya bao la usingizini
JF ndio penye habari za mvuto
JF kama maji usipoyanywa utayaoga
 
Napenda mataako,
yaliyo mnato,
yananipa joto,
jf kuna mashostito,
hawana mvuto,
sura ,zao nzito,
kama mrisho mpoto....Hahaha mtaibaaa

Hahahahahahah hahahahha ahsante kwa kunichekesha jamani. Usiku wangu umekua mzuri sana
 
JF Yafariji, Vile Vile Yafundisha,
JF Burudani, nani atakaebisha?
Tunatoa ya undani, hakika yafurahisha,
Kuziondoa sitressi, JF wanikosha!
 
matumbo tulia nikupe vina
Naona una mistari laini kama losheni
Nakupa mistari mitamu zaidi ya bao la usingizini
JF ndio penye habari za mvuto
JF kama maji usipoyanywa utayaoga

Chachu Ombara uwezi kunituliza,
Nitakupa kipara mpaka uone giza,
matumbo np imara koment zangu ni miujiza,
nna mistari michafu km baibui la faiza,
mfalme wa jeiefu madem kila siku wananipm eti nawamaliza......bado una energy nikumbushie enzi za ujana?
 
Last edited by a moderator:
Napenda mataako,
yaliyo mnato,
yananipa joto,
jf kuna mashostito,
hawana mvuto,
sura ,zao nzito,
kama mrisho mpoto....Hahaha mtaibaaa

Hahahaaaaa, Nina mistress ila umenifanya nicheke kwa nguvu. Dinazarde njooo uonee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom