Filamu za Kibongo zazidi kupasua Anga

Filamu za Kibongo zazidi kupasua Anga

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
BONGO_MOVIES34.jpg

Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi ughaibuni kushea nasi kile alichokutana nacho akiwa ndani ya ndege.

"I was very happy hivi karibuni wakati nasafiri ndani ya Emirates kukutana na hii Bongo Movie ''MkeMchafu'' humo ndani ninaemjua ni Johari Chagula pekee yake.

But lengo la kuleta hapa ni kuwapongeza sana maana ni hatua nzuri and I hope tutaendelea kukutana na movie zingine pamoja na miziki yetu pia kwenye mashirika mengine ya ndege.. Kwani wao waweze sie tushindwe tuna nini" - Jestina wa Jestina-george.com aliandika mtandaoni na kuwa tag baadhi ya wasanii wa bongo movies.

Hizi ni dalili nzuri, wasanii endeleni kukaza buti, wadau tuendelee kuwasapoti kwa kupenda vya kwetu.

Chanzo: BongoMovie.com
 
Namkubali sana Johari. ni .msanii mzuri na mkongwe. amechangia kwa kiasi kikubwa sana sanaa ya uigizaji wa tanzani kuvuka mipaka ya nchi
 
Ngoja nitamuuliza house girl wangu kama ni nzuri maana yeye pekee ndiye anaangalia
 
Ngoja nitamuuliza house girl wangu kama ni nzuri maana yeye pekee ndiye anaangalia
We mbona kila thread uachi kumtaja msichana wako wa kazi au ndo unataka tujue una house gal. after all so sifa mkuu.Kila sehemu ikitajwa bongo muvi lazima umseme lol......
 
Unataka niseme naangalia wakati siangalii,au unadhani kuwa na house girl ni inshu?
We mbona kila thread uachi kumtaja msichana wako wa kazi au ndo unataka tujue una house gal. after all so sifa mkuu.Kila sehemu ikitajwa bongo muvi lazima umseme lol......
 
Unataka niseme naangalia wakati siangalii,au unadhani kuwa na house girl ni inshu?
So kila mara unamtaji it seems u so proud of her au ndo wale mnaowananiiiiii....................ni mtumishi kama ulivo wewe...
 
Hakuna filamu nzur na yenye imerekodiwa vizur waigizaji walio serious kama SIRI YA MTUNGI
ile kitu ni habari nyingine. wapo serious, hawana magumashi. na wanapata ufadhili kwa taasisi zenye heshima ndio maana wanatoa bidhaa njema!

Wafadhili
 
Kumtaja kuwa anapenda kuangalia filamu hasa za kibongo sidhani kama ni tatizo,ndiyo kitu anachokipenda.
So kila mara unamtaji it seems u so proud of her au ndo wale mnaowananiiiiii....................ni mtumishi kama ulivo wewe...
 
Back
Top Bottom