King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 61,040
- 90,319
Umofia Kwenu wana JF,
Kumezuka tendency ya wasanii wa bongo kumshirikisha uhuru kwa sana,wasanii ambao wamemshirikisha uhuru ni madee,linah,mafikizolo etc,nikisikiliza hizo nyimbo hakuna sehemu aliyoimba zaidi ya kutamka jina lake tu basi na kuingiza katuni zake,
au ndio kama zembwela alivyosema wa-tz sie watu wa ajabu, kaja msanii hata hajui kusema yaani bubu lakini kapiga hela kwa ababababaabaaaaa babaaaaaa,sasa huyu uhuru wa uyuyuyaaaaaa achupuchaaaaaaaa ni kitu gani alichowaroga wana bongo flavor?
Kumezuka tendency ya wasanii wa bongo kumshirikisha uhuru kwa sana,wasanii ambao wamemshirikisha uhuru ni madee,linah,mafikizolo etc,nikisikiliza hizo nyimbo hakuna sehemu aliyoimba zaidi ya kutamka jina lake tu basi na kuingiza katuni zake,
au ndio kama zembwela alivyosema wa-tz sie watu wa ajabu, kaja msanii hata hajui kusema yaani bubu lakini kapiga hela kwa ababababaabaaaaa babaaaaaa,sasa huyu uhuru wa uyuyuyaaaaaa achupuchaaaaaaaa ni kitu gani alichowaroga wana bongo flavor?