Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Eti kwa nyinyi mloenda leaders club 24/ 01/2015 ni kweli diamond & Ali kiba walizichapa? maana nilisoma kichwa cha habari cha gazeti moja kilisema; DIAMOND, ALIKIBA WAZICHAPA.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji wa trend ya muziki hapa nchini utagundu hivi karibuni heshima ya diamond kimuziki imeshuka sana ila kinachoweka juu ni tetesi na magazeti na ni habari zisizohusiana na...
1 Reactions
48 Replies
7K Views
5. Barbie girl - Aqua 4. body to body - Chorus kutoka kwa Chris brown 3. Make it rain - Lil Wayne 2. I need a girl - Usher Raymond 1. We are the world - Chorus ya kwanza by Michael Joseph...
1 Reactions
41 Replies
5K Views
Thanks kwa wote walioni-check PM ntampa report jamaa. Na hata kama wee ni DJ,PROMOTER,MANAGER,PRESENTER au hata kama ni DIRECTOR sio mbaya ukimpa mwana support,YOU ARE WELCOME. Download...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba mnijuze website nzuri yaku download songs za bongo kwa free na rahisi kutumia simu
0 Reactions
4 Replies
12K Views
Dah!! Kweli jide safari hii umetuweza aiseeh na hii single yako mpya ya forever, wambea tumewazaa eeh na kuwazua ila hatujapata jibu kamili, ivi forever utakuwa umemwimbia nani? Gadner? Sidhan...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Ni baada ya website ya Mdundo.com kutangaza wasanii bora wa Hip-Hop Tanzania kwa mwaka, huku Songa akishikilia nafasi ya Tatu, listi ikiwa ni 1= NIKKI MBISHI 2= ONE THE INCLEDIBLE 3= SONGA...
3 Reactions
34 Replies
15K Views
nimeamua leo kuwakumbushia vituz vya miaka iiiiile, walau utakumbuka ulikuwa unafanya nini
0 Reactions
2 Replies
3K Views
SWAGA-licious...nyuma ya pazia, vijana wakipanga mikakati... MAPANKI Tukutane February 7, 2015 episode ya kwanza itakaporuka hewani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimesikia ni mpenzi wa hizi nyimbo, haya anzia wikiend hiyo
1 Reactions
3 Replies
18K Views
kwa wale wa zamani wikiend inakaribia, sikiliza kitu cha bwana balisidya na afro 70
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Niambie! Naombeni mnisaidie wadau kupata sauti za vicheko zilizorushwa sana Clouds Fm kipindi cha Afrika Bambataa kilichokuwa kinarushwa saa 3 usiku na Amina Chifupa.Vicheko hivyo vinaundwa na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
UWE NA SIKU NJEMA
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni Mlasi Feruzi, mwanamuziki aliyekuwa akifanyia kazi na kundi la Jambo Survivors, mwimbaji wa kibao maarufu cha 'Maprosoo'. Anahojiwa na Masoud Masoud katika kipindi cha muziki wa kitambo hapa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wasanii Hawa Yamebaki Majina tu, Hakuna wanachofanya kweny Game Sasahivi..! JUMA NATURE. Q- CHILLAH. BWANA MISOSI. PROF.J. DULLY ( MR MISIFA). DUDUBAYA. MR NICE. MR BLUE. T.I.D. -Hebu taja...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Januari 21, 2015 Singer-Diamond Platinumz Genre-taarabu/Mduara Diamond Platnumz - Nasema Nawee https://www.youtube.com/watch?v=DT7uZ-PVUi8 Source: Hisani ya TANZANIA ONE wa YouTube
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa Hisani ya BONGO NATION wa YouTube: January 21, 2015 Kibao cha Rhumba colabo ya Linah Ft Christian Bella~Hellow {NEW BONGO MUSIC}2015 https://www.youtube.com/watch?v=5SQvae3hHsY
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikua napitia mada hii Tujikumbushe bendi zetu za zamani miaka ya 80 na 90 mitindo yao na wanamuziki wake Kisha nikaja kusoma hii beats kali toka kwa p funk kichwa kikaniuma baada...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
kipindi cha nyuma kidogo tulikuwa tunalalamika kuwa sisi watz hatuna tunachokijua zaid ya BBA, sasa kwa kipind hiki vijana wenzetu wameonesha kufanya vizuri na kulitangaza taifa letu, sisi wenyewe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa ni watu ambao kwa mtazamo wangu wana impact kubwa sana kwenye huu mziki wa kizazi kipya "Bongofleva", yaani wameacha alama ambayo haitakuja kufutika vizazi na vizazi, wametoa hamasa kubwa kwa...
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…