siri ya mchezo

siri ya mchezo

sajumo

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
1,834
Reaction score
1,056
huyu fid q nahis hakuna kuna mtu wa kumpiku katika hii field ya hiphop niliisikiliza hii nyimbo ya siri ya mchezo ila leo nimeisikiliza tena na leo nimeielewa tofauti katika mjengo wake wa taswira maana kila nkisikiliza napata maana moja mpya "tanzania dem wa mtungo wanamuita cha wote anakimbia hangover kwa kukata mtungi saa zote"
"mkubwa anasema atasolve matatizo ya nchi yake gari bovu halisukumwi kwa kukaa ndani yake"hakika fid anaweza kuimba kwa punch namaanisha mstar mmoja wa fid unaweza kutungia topik
 
"unaweza kujuta kuwa staa, ukapigwa chupa baa,
kisa ulipepesuka, ukamkanyaga huyu jamaa"
 
Duu ni hiphoppers wenyewe wakija sijui tutasema nini
 
mshkaji yupo level zake mwenyewe unaweza ukiiskiliza song mpaka mwisho ila ukajikuta hauilewi mpaka uirydie kama mara kadhaa
nilifurahi ule mstari kuusaka ukweli ni sawa kumenya kitunguu kila ganda litakutoq mchozi na utabaki mqcho juu

h
ni ishu ya kweli hasa katika political issues
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom