Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,297
- 138,180
Nyani Ngabu hawa wabongo?
kiongozi elcome back, naona wamepiga fitna sana mwisho wa siku umerudi, vizabizabina chupi chiniVitu vitamu lakini vifupi mnooo..hiyo friji ina makufuli tena!?
Binafsi nahisi si wabongo.
Nadhani kilichofanyika ni kuunganisha tu hiyo audio na video za wachuchu wakikata viuno.
Ila maneno muhimu hapo ni 'nahisi' na 'nadhani'.
Hivyo inaweza ikawa sivyo na ninavyohisi na kudhani.