Ally Kiba vs Ney wa Mitego, nani mkali?

Ally Kiba vs Ney wa Mitego, nani mkali?

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
Wadau nadhani huu utakuwa mpambano mkali wa kali wa bongo fleva wanaofanya vizuri kibongobongo. Je, ni nani mkali kwako kati ya Aly Kiba na Ney wa Mitego? Karibu..
 
mleta mada naona kama unataka attention flan hivi
 
Wadau nadhani huu utakuwa mpambano mkali wa kali wa bongo fleva wanaofanya vizuri kibongobongo. Je, ni nani mkali kwako kati ya Aly Kiba na Ney wa Mitego? Karibu..

Hapo Ni Sawa Na Kuuliza Yussuph Manji Na Jerry Muro Nani Ni Tajiri?
 
Ney huyu anayeongea kama kaweka kokoto mdomoni au Ney yupi?
 
kiba ni king zaidi ya wana bongofleva wote na uzuri wote wanalitambua hilo
 
Nimetamani nikutukane bonge la tusiiii wewe mleta mada basi tu bado naipenda JF.
 
Nimetamani nikutukane bonge la tusiiii wewe mleta mada basi tu bado naipenda JF.

Umtukane kisa nn...mbna ukimlinganishaga kiba ako na daimond huwa hautukanwi
 
Hahahahahahahaha eti nan??? Neema wa mitego unasema??
 
Back
Top Bottom