Binafsi sipendezwi kabisa na huu upuuzi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram na facebook
Ni nani aniyezifadhiri hizi timu?
mnafanya kazi kwa manufaa ya nani?
Hivi...
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi...
Tafadhalia naomba ambaye anaweza kunisaidia kupata hii tamthilia kwa lugha ya kkingereza , coz nimedownload baadhi ya episode but nikakuta ziko kwa llugha ya kifilipino. PLZ.
Wasanii wetu wa bongo movie wamekua na majina makubwa huku wengi wao wakiwa na hali mbaya kiuchumi.Wengi wamekua wakiitupia lawama kampuni ya muhindi ya Steps kuwa ndio inayowanyonya...
Habar waba jamii natumaini mko good. Nilikuwa naitaji msaada kwa mtu yeyote anayejua jinsi ya kudownloard series za waphilipino hasa the promise na nyinginezo anisaidie hasa kama kuna website au...
Japo sio official release, lakini nimesikia hii nyimbo na naweza sema mashairi ya humu ni MOTO.
Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchoka,
Mara chumba cha fulani, mtu gani we kwako usiokaa...
Umofia Kwenu wana JF,
Kumezuka tendency ya wasanii wa bongo kumshirikisha uhuru kwa sana,wasanii ambao wamemshirikisha uhuru ni madee,linah,mafikizolo etc,nikisikiliza hizo nyimbo hakuna sehemu...
Nyie kikundi cha Futuhi cha startv, kwa nini mnafikiri kwamba kushikana mashati, kuzabana vibao na kukimbizana ili kumkata mwingine mtama ni kichekesho?
Mnaniudhi sana kwa jinsi mnavyokwaruzana...
1. Afande Sele
2. Mr 2
3. Prof J
4. 20%
5. J MO
6. J. Nature
7. Jide
...........
Afande Sele ndio msanii mwenye nyimbo zenye ujumbe zaidi unaoweza kusikilizwa na rika zote, na ujumbe...
February 6, 2015 marks what would been the 70th birthday of Bob Marley. And nearly 34 years after his cancer-related death in 1981, the reggae pioneer's songs of love, dissatisfaction, peace, and...
Habari zenu wana jamvi!!!!
kwa wale wanaopenda music wa HIP HOP ebu tupia mistari unayoipenda sana na kisha mtaje aliyeimba
mfano.
'maisha ni safari,ambayo imekwisha kwa zake juhudi...
Kwa wanandoa mkipata huu wimbo sikilizeni...Mimi hua unanigusa sana nikihudhuriaga harusi pale watu wanapojifunga na ma sweet heart wao.
Download hapo chini;
Huyooo ni chaguo lako
Umeomba...
Kutokana na mashairi ya nyimbo zake na matukio yanayomtokea mwimbaji Judith Wambura (Lady Jaydee) vinaonyesha kuwa binti huyu ana shiida ya mahusiano mwanzo mwisho. Anaonekana kuwa ni binti ambaye...
TID kwa Q Chief : "Kaanzisha bendi yake ikwapi? hana hata gitaa vitu vyote kauza... am not stupid yeye ndio stupid,"
Baada ya siku ya jana kujibiwa na Q Chief juu ya coment aliyoitoa baada...
Best supporting actor
WINNER: JK Simmons for Whiplash
Robert Duvall for The Judge
Ethan Hawke for Boyhood
Edward Norton for Birdman
Mark Ruffalo for Foxcatcher
Achievement in costume design...
Moja ya vitu navyokua najiuliza bila majibu ni
pale napoangalia filamu za wenzetu mataifa tajiri/
duniani. Utaona wanatumia vitu vya thaman sana
kuigizia na wanaviharibu haribu mfano utakuta...
Mpaka sasa kwenye sikio langu sijasikia wimbo mkali wa kuachwa wenye hisia kama wa Kassim uitwao Awena.
Jamaa kwenye huu wimbo amelalamika, amelilia mapenzi vibaya mno, yale mashairi yanaweza...