Channel O Sprite Emcee Africa

Channel O Sprite Emcee Africa

TUPACified

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
1,367
Reaction score
604
Hii kitu niliishudia ya kwanza nikiwa Chalii na niliikubali kinoma, sijui iliishia wapi. Na washkaji walioshiriki, kina Rage, Big Mike, Adamiz, Snazz tha Dictator na mchizi wa Ghana yule alikuwa na sneakers flani final kila mtu anazi-diss, sijui wako wapi hawa jamaa
 
Nakumbuka niliudhuria iliyofanyka pale TCC Chang'ombe pale ilikuwa mzuka sanaaaa wakali kibao wa freestyle walikuwepo
 
Rage ndo alishinda kwa hapa bongo akaenda kushiriki na wasanii wengine wa nchi mbalimbali za africa kule south africa
 
Rage ndo alishinda kwa hapa bongo akaenda kushiriki na wasanii wengine wa nchi mbalimbali za africa kule south africa

Rage alichemka final, nadhani alitumia lugha chafu ama nini, sikumbuki fresh ila alichemka.
 
Back
Top Bottom