Kwa wale mliofika bagamoyo mtakua mnaifahamu club matata inaitwa lusona ndani ya milenium hotel.ni club ambayo imekua maarufu sana ambapo kila mwisho wa wiki utawakuta watu maarufu kibao kama...
I've waited for this coming April....Lord knows how long man.
3 main reasons:
I love them series man, from the 1st one.
I would really love to see how James Wan did it. Binafsi simwamini...
Currently niko Bukoba, jana pasaka kulikuwa na mashindano ya kushake na kuimba maeneo ya beach, msanii Songa wa Tamaduni Music na M-Rap walikuwa na show kwenye Club moja maarufu huku, wakaja...
Naweza kusema haya ni mapinduzi ya kweli katika bongo fleva big up KIBA. kwa hili la kupi show pale DAR LIVE kwa LIVE BAND kweli umetisha kaka huu ni mfuniko kwa wasanii wote tunaowajua akiwemo...
Salamu wakubwa, nilikuwa nauliza kwa aneweza kunisaidia kuupata wimbo wa tanzania umeimbwa na wahindi ni wa kitambo kidogo, mbaya zaidi siujui hata jina lake, tbc taifa ndio wanaoupiga mara...
Beyoncé and Chris Brown on the same song? No, you're not dreaming. This actually happened.
Queen Bey and CB appear together on the "Jealous (Remix)," where Brown adds his vocals to the track that...
Naona sikuhizi umbea hasa unaohusu celebrities umehamia huko, Facebook na Twitter zimetelekezwa, show game zote ziko huko, mara sijui team wema,team kiba,team lemutuz(lol) etc zoote zipo huko, in...
Huyu dada anaeitwa Wema Sepetu anaonekana akionyesha tabia na maisha yake ya kila siku kupitia kipindi hiki cha In My Shoes kinachoonyeshwa kupitia EATV.
Hakuna cha maana zaidi ya kuonyesha jinsi...
The Success Of Fox's 'Empire' Reveals A Few Do's And Don'ts For TV
i Taraji P. Henson, left, and Terrence Howard star as Cookie and Lucious Lyon in the Fox TV show Empire.
The TV...
Kololo kolo mawena na tip
Sheneida
(verse1)
Bana ndugu ebu leta tulivyo kabla mimi sijaondoka
Wanatuhadithia tatizo wakati si tushamoka
Weka bia tatu kwenye meza pale
Hiyo bili atalipa babu tale...
Wakuu hivi kuna tofauti gani kati ya Bongo Movie na Nigerian Movie? Au unawashaurije wasanii wetu, wafanye kitu gani ili movie ziwe za kimataifa zaidi, yaani ziuzike huko ulaya, Amerika hata bara...
Meneja wa muda mrefu wa kundi la muziki wa kizazi kipya la Tiptop Connection,Abdul Taletale aka Abdul Bonge ameaga dunia. Abdul Taletale ambaye ni kaka wa Babu Tale atazikwa mkoani Morogoro...
Guyz ni nyimbo gani ikipigwa club ukiwa huko lazima usimame kucheza iwe ya kibongo bongo au ya mbele I mean ya kizungu lengo nataka kujua zile nyimbo ambazo zina pigwa sana club kwenye madisco...