K 4 REAL aendelea kumtesa mzee wa promo

K 4 REAL aendelea kumtesa mzee wa promo

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
hakika hili ndio jembe K 4 REAL anaendelea kumtesa mzee wa promo, kutokana na nyimbo zake kupigwa sana katika vituo vya radio na TV. take 5, K 4 REAL
 
Unajitahidi leo hauoni hiyo usemayo promo ilipomuweka?

Mwambie mwenza nae afanye maana hawezi kumfikia kwa sasa kwa kabla hata robo na kwa baadae labda chini zaidi.

Pigeni kazi acheni majungu ya kumtizama mtu na kumpondea iga muendeleee
 
Unajitahidi leo hauoni hiyo usemayo promo ilipomuweka?

Mwambie mwenza nae afanye maana hawezi kumfikia kwa sasa kwa kabla hata robo na kwa baadae labda chini zaidi.

Pigeni kazi acheni majungu ya kumtizama mtu na kumpondea iga muendeleee

mkuu K 4 REAL anatisha
 
Mwenye macho haambiwi tazama (uwalinganishe Zari na Wema, kwa LIPI?! uwalinganishe Dai na K, KWA LIPI??! totally different.
 
Duh!ukitaka kuwa mshabiki wa kitu inabidi uwe na moyo wa SAKAFU.
 
Kwa jinsi ninavyoupenda mziki wa Kiba......hata aje nani yaani simuelewi!
AllyK 4 Real
 
Zingifuriii zinhifuriii yupo dubaiii kiba yupo bongo hkuuu gongo la mboto...
Mtaisoma nambaaaa
 
NEMBO YA TAIFA ratiba iko bize tangu mwezi wa 4-7 na show za ndani na nje anapiga hela wewe umekalia kulazimisha bifu na ambaye anabifu naye
 
Zingifuriii zinhifuriii yupo dubaiii kiba yupo bongo hkuuu gongo la mboto...
Mtaisoma nambaaaa

Lov naomba uninunulie CD ya King kiba for real unitumie kwenye fast jet
 
Back
Top Bottom