Nikk Mbishi, Stereo, One the incredible na Songa

Nikk Mbishi, Stereo, One the incredible na Songa

The Moon Master

Senior Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
133
Reaction score
30
Kiufupi ni kwamba awa jamaa wako vizuri sana katika gamu ya hip hop hapa bongo, wamefanya mapinduzi ya kupigiwa mstari, kuanzia uandishi, ghani yaani atleast zile nguzo tano za hiphop wanazifuata. Kwa tunaofuatilia huu muziki tumewasoma sana.

Cha kushangaza ni kwamba hawapati promo wanayostahili, redio nyingi wanashabikia awa waimba viduku.

Kazeni buti wana kuna siku jamii itakuja kuwaelewa tu.
 
Kiukweli mimi ni shabiki nambari moja wa hao watu na hiphop nzima kwa ujumla,nina mix tape ya mbishi,na nash mc na godzila lakini to be honest hasa kwa niki mbishi inabidi abadilishe flow yake ya uimbaji mashairi yawe yanaweza kuimbika kwa kila mtu,asiflow fasta kiasi cha kila mtu kuweza kumuelewa lakini at his/her own time akitaka kuimba ashindwe kwa mfano hiphop artist wengine wanafanya hiphop pia lakini nyimbo zao zinaimbika kwa mashabiki wao mfano fid q,prof j,stamina,roma na joh,young killer n.k na redio nyingi za kibongo wanapenda kupiga nyimbo zinazokuwa zinapendwa sana na watu hawawezi kupiga sana nyimbo inayopendwa na watu wachache au kikundi fulani


kitu kingine biti pia saome how zinamuangusha aache kufanya kazi sana na texas au kalulete atoke kidogo walau aende kwa mj au fertility alafu tuone atawekewa biti gani au atatoka na kitu gani???,kwa kumalizia if other factor remain constantniki mbishi ni bonge moja la msanii songa one na incredible wote nawaelewa na hata kilingeni kila jumamosi hapanipiti walau kwa mwezi mara mbili.
 
Kiukweli mimi ni shabiki nambari moja wa hao watu na hiphop nzima kwa ujumla,nina mix tape ya mbishi,na nash mc na godzila lakini to be honest hasa kwa niki mbishi inabidi abadilishe flow yake ya uimbaji mashairi yawe yanaweza kuimbika kwa kila mtu,asiflow fasta kiasi cha kila mtu kuweza kumuelewa lakini at his/her own time akitaka kuimba ashindwe kwa mfano hiphop artist wengine wanafanya hiphop pia lakini nyimbo zao zinaimbika kwa mashabiki wao mfano fid q,prof j,stamina,roma na joh,young killer n.k na redio nyingi za kibongo wanapenda kupiga nyimbo zinazokuwa zinapendwa sana na watu hawawezi kupiga sana nyimbo inayopendwa na watu wachache au kikundi fulani


kitu kingine biti pia saome how zinamuangusha aache kufanya kazi sana na texas au kalulete atoke kidogo walau aende kwa mj au fertility alafu tuone atawekewa biti gani au atatoka na kitu gani???,kwa kumalizia if other factor remain constantniki mbishi ni bonge moja la msanii songa one na incredible wote nawaelewa na hata kilingeni kila jumamosi hapanipiti walau kwa mwezi mara mbili.

well said mkuu...hope michango Yetu itawasaidia kama wanatusoma.
 
sterio ayupo tamaduni nowadays,,kachukuliwa na ambwene.

mwache tu aende cha msingi fedha kaenda kufanya rap commercial.country boy nae nilimuona kaenda kwa t.i.d ila bado mambo hayawa mazuri sasa sijui bado yupo watu chee au kajitoa mazima...
 
Sio hao tu yupo kadgo,gheto ambasador,p the mc,male, wanafanya poa sana.. Cha msingi wapunguze nyimbo za michano atleast wawe wanafanya nyimbo za kuelimisha mfano mzuri P the mc ukisikia nyimbo yake ya HUNA JIPYA ni dhahiri utajua vijana hawa wanaweza... TAMADUNI MUSIC 4LIFe.
 
Hawa jamaa nawakubali sana. Kuda dada mmoja pale kilingeni ni balaa..anaitwa Tifa, aisee ni noma. Anachanika kama DaBrat. Sema nikki aachage zake za kupondaponda kila kitu.
 
Hawa jamaa nawakubali sana. Kuda dada mmoja pale kilingeni ni balaa..anaitwa Tifa, aisee ni noma. Anachanika kama DaBrat. Sema nikki aachage zake za kupondaponda kila kitu.


jamaa anajiona Mr.know all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom