Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Habari Tycoons na Mogul wa Muziki, Nime-attach wimbo hapa kwa yeyote anayeujua anitajie jina lake,nautafuta sana hii audio clip niliu-record redioni ulipopigwa. Thanks in Advance,The Cat.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mjin kuna mamboo
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The Boss come this way and give your take. Sauti yake ni kama ya mchuchu flani hivi nayemjua.....
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ya muda huu wanajamvi. . . Kuna kitu kimoja kikibwa ambacho kuna haja ya kukitafutia muafaka, , ,si kingine, ila ni kipi kinacho mu'influance Mtu kuangalia filam kati ya story au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Manny Pacquiao aamua kukamata attention ya wapenzi wa masumbwi ulimwenguni kote. Atoa Nyimbo / video akiimba kwa hisia kali...yenye vionjo vya kutia moyo wafilipino waishio katika maisha magumu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
napenda sana kuangalia maseries ..kuna madude kama HUMAN TARGET(episode ya kwanza na linaendelea) THE EVENT( hili lipo episode ya kwanza season ya kumi na linaendelea-hili dude ni aibu kama...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Leo kaachia nyimbo ake mpya nimebahatika kuisikiliza mara moja ila sijamaliza nimeipenda ghafla kwa sababu kijanaa anajua kaimba vizuri nyimbo inaitwa nitazoea nimeipend kuliko ile ya kwanza basi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hashime kwenu! Nautafuta wimbo uitwao "I Need Answer", nimemsahau mwimbaji. Ni 'ngoma' za 80's, Ulikuwa unaenda sambamba na "Change On Me" wa Cynthia. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
For those few of us who likes the boondocks animation. The theme song is made by Asheru. i like it and ofcoz its my ringtone. i got the uchambuzi of the track; The song embodies the spirit of the...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi yupo wapi mtu huyu. Amepotea sana! Ukisikiliza rap zake akiwa na Chuchu Saundo unaweza kumtafuta usiku na mchana! Ana kipaji huyu kijana ila hajapata platform tu!
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kuna movies flani huwa zina budgets za kawaida, waigizaji wa kawaida, promo ya kawaida, karibu kila kitu kawaida ila hujawahi kujutia kuziona wala hutajali kuziona tena na tena. Zangu ni hizi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maadili mema ya taarab yanaharibiwa na mduara na baikoko utakuta wanawake wanajidhalilisha sana cha msingi wasanii wazingatie maadili na taarabu ibaki na maadili yake mazuri
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Jamani nauliza ni wapi hapa Dar naweza fungiwa Music system nzuri kabisa kwa bei nafuu? Nitashukuru sana kwa maelekezo. George.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna nyimbo moja hiv naitafuta japo sifahamu jina na walioimba lakin nakumba baadhi ya maneno kama vile WHEN I CRYING AND SMILE hiyo ngoma n wajaimaca raggae jamaa moja anasuit nyembamba hiv kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Good morning. Kwa yeyote mwenye series ya jumong plz naomba anisaidie. Kwa aliye Dar tu naweza kumfuata alipo.Asante
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kulikuwa na makundi mengi ya bongo fleva yaliyokuwa yanafanya vizuri. Miongoni mwa makundi hayo ,TMK wanaume na EASTCOST team yalikuwa juu,.Makundi haya yalikuwa...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wasanii wabongo kwa sasa ni kama wanashinsdana ivi kufanya video Kali. Ukweli wanafanya vzr katika kuhakikisha wanatoa video Kali za nyimbo zao. Hivi karibuni msanii Shetta ametoa video ya...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
mimi ni mmoja kati ya mashabiki wa Afande selle, huwa nakunwa sana na mashahiri ya huyu jamaa ktk tungo zake, pia leo nimemkumbuka kwa vile kuna jamaa yangu kanisimulia story moja inayofanana na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hizi ni nyimbo mpyampya (kuanzia mwakajana hadi sasa) ambazo zikipigwa mahali popote lazima nitikise kichwa; 1. Kanyaboya---Mesen Selecta 2. Nimempata---Pam D ft Mesen 3. Chelewa---Navy Kenzo...
0 Reactions
23 Replies
19K Views
Bandugu, Naomba kwa mwenye nyimbo zifuatazo anisaidie namna ya kuzipata (preferably online maana ukiniambia niende Mtaa wa Kongo ama Buguruni sitaweza maana nipo ughaibuni): Sanza Misato (Shaba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…