Habari Tycoons na Mogul wa Muziki,
Nime-attach wimbo hapa kwa yeyote anayeujua anitajie jina lake,nautafuta sana hii audio clip niliu-record redioni ulipopigwa.
Thanks in Advance,The Cat.
Habari ya muda huu wanajamvi. . .
Kuna kitu kimoja kikibwa ambacho kuna haja ya kukitafutia muafaka, , ,si kingine, ila ni kipi kinacho mu'influance Mtu kuangalia filam kati ya story au...
Manny Pacquiao aamua kukamata attention ya wapenzi wa masumbwi ulimwenguni kote.
Atoa Nyimbo / video akiimba kwa hisia kali...yenye vionjo vya kutia moyo wafilipino waishio katika maisha magumu...
napenda sana kuangalia maseries ..kuna madude kama HUMAN TARGET(episode ya kwanza na linaendelea) THE EVENT( hili lipo episode ya kwanza season ya kumi na linaendelea-hili dude ni aibu kama...
Leo kaachia nyimbo ake mpya nimebahatika kuisikiliza mara moja ila sijamaliza nimeipenda ghafla kwa sababu kijanaa anajua kaimba vizuri nyimbo inaitwa nitazoea nimeipend kuliko ile ya kwanza basi...
Hashime kwenu!
Nautafuta wimbo uitwao "I Need Answer", nimemsahau mwimbaji.
Ni 'ngoma' za 80's, Ulikuwa unaenda sambamba na "Change On Me" wa Cynthia.
Natanguliza shukrani.
For those few of us who likes the boondocks animation.
The theme song is made by Asheru. i like it and ofcoz its my ringtone.
i got the uchambuzi of the track;
The song embodies the spirit of the...
Hivi yupo wapi mtu huyu. Amepotea sana!
Ukisikiliza rap zake akiwa na Chuchu Saundo unaweza kumtafuta usiku na mchana!
Ana kipaji huyu kijana ila hajapata platform tu!
Kuna movies flani huwa zina budgets za kawaida, waigizaji wa kawaida, promo ya kawaida, karibu kila kitu kawaida ila hujawahi kujutia kuziona wala hutajali kuziona tena na tena. Zangu ni hizi...
Maadili mema ya taarab yanaharibiwa na mduara na baikoko utakuta wanawake wanajidhalilisha sana
cha msingi wasanii wazingatie maadili
na taarabu ibaki na maadili yake mazuri
Kuna nyimbo moja hiv naitafuta japo sifahamu jina na walioimba lakin nakumba baadhi ya maneno kama vile WHEN I CRYING AND SMILE hiyo ngoma n wajaimaca raggae jamaa moja anasuit nyembamba hiv kwa...
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 kulikuwa na makundi mengi ya bongo fleva yaliyokuwa yanafanya vizuri.
Miongoni mwa makundi hayo ,TMK wanaume na EASTCOST team yalikuwa juu,.Makundi haya yalikuwa...
Wasanii wabongo kwa sasa ni kama wanashinsdana ivi kufanya video Kali.
Ukweli wanafanya vzr katika kuhakikisha wanatoa video Kali za nyimbo zao.
Hivi karibuni msanii Shetta ametoa video ya...
mimi ni mmoja kati ya mashabiki wa Afande selle, huwa nakunwa sana na mashahiri ya huyu jamaa ktk tungo zake, pia leo nimemkumbuka kwa vile kuna jamaa yangu kanisimulia story moja inayofanana na...
Hizi ni nyimbo mpyampya (kuanzia mwakajana hadi sasa) ambazo zikipigwa mahali popote lazima nitikise kichwa;
1. Kanyaboya---Mesen Selecta
2. Nimempata---Pam D ft Mesen
3. Chelewa---Navy Kenzo...
Bandugu,
Naomba kwa mwenye nyimbo zifuatazo anisaidie namna ya kuzipata (preferably online maana ukiniambia niende Mtaa wa Kongo ama Buguruni sitaweza maana nipo ughaibuni):
Sanza Misato (Shaba...