Kwa wale wapenzi wa nyimbo za kihindi na kiarabu tuburidike hapa...
donlucchese utafiti Mrs Kharusy Angel Nylon Zamiluni Zamiluni MziziMkavu life is Short kabanga
salaam!!
Nimeona nililete hili wazo kwenu nikiwa kama msanii kwa kuona upeo mkubwa wa wanajamii wakushauri na kukosoa pia,. imekaa poa sana hii!
ni biashara ya mziki, wasanii wengi east...
Msanii na mwalimu wa muziki wa Hip Hop wa kipindi cha Ujamaa Hip Hop Darasa, Fid Q ameachia audio ya wimbo wake Bendera ya chuma aliomshirikisha Ben Pol ikiwa ni wiki sasa tangu asikike katika...
Madonna got involved in a controversial storm on Instagram on Monday by posting a photo of a Jewish man and a Muslim man going to kiss, subtitling it This picture is 100″ with a heart...
Hii ni kwa wasanii wa ukweli wa hiphop nitakuwa natoa zawadi ya beats(mawe) hapa bure yeyote yuko huru kutumia bila woga.
Hakuna haja ya kupiga magoti studio upload vocal mimi namaliza kesi ya...
WanaJF,
Baada ya Lowassa kutoa kauli kuwa siku ya mei 23 atatangaza ya moyoni kuhusu nia yake kwenye safari ya matumaini, wasanii wa bongo fleva wakiongozwa na Shetta, kijana machachali katika...
Siku zote jambo la msingi ni kupiga hatua,kubuni vitu tofauti na jana,Safari hii kutokana na maboresho ya msingi na kuzingatia mahitaji ya watu wengi.....tumeamua kuhamishia lile tukio kubwa la...
Owen Wilson and Jackie Chan are all set to repeat their popular parts in the hotly anticipated third part of the Shanghai series, Shanghai Dawn. Here are the most recent subtle elements...
Wimbo huu nilipouangalia kwa mara ya kwanza niliupenda sana.Msanii anaitwa PLATE YA MAARIFA,kafanya kazi kubwa sana ktk swala zima la kueneza haki hii kwa wananchi.Hii Ibara ya 18 ni haki ya kila...
Licha ya kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ila it is not a coincidence ma ex wote wa Mwanamuziki Diamond Platnumz wanafanya campaign za kushawishi watu wampigie kura ally kiba...si...
Nilikuwa namchukulia dogo poa ila kwa hii kitu ninamheshimu kweli. Sijua KTMA kama yuko kwenye kategori ya utunzi bora ila kama yupo basi anabeba tuzo. Huu wimbo wa Ruby ninausikiliza kila baada...
Toka siku ya kwanza nausikia wimbo wako wa Crazy,nilijua ipo siku wapenda burudani watakuelewa,hiyo ilikuwa 2012 nikiwa moshi na ulifanya wimbo huu na noda,then later on u featured Mwana Fa on the...
wapendwa wakubwa habari za majukumu.
Mimi binafsi ni mpenzi sana wa miziki ya legge, hasa hasa lucky dube ila sijajua tokea kufariki kwake kama ile bendi inaendelea kutoa burudani au la na kama...
Billboard Music Awards mwaka 2015-haiko mbali sana.
Muda umefika..-kwenye headlines kubwa za weekend hii ni hizi tuzo za-hizo,-shughuli yote itakuwa pale-Grand Garden Arena, Marekani.
Walioongoza...
hellow!!
ombi ombi yule anaeweza kuandika script kwa kiwango cha kimataifa au cha ubora unaohitajika naomba aungane namimi katika uandikaji wa script za filam nne (kali) sina pesa ya kumlipa but...
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kwa kushirikiana na Kilimanajaro Premium Lager leo wametangaza rasmi wateule (Nominees) wa vipengele 32 vya tuzo za Muziki Tanzania (Kilimanjaro Tanzania Music...
Wasalaam wanajamvi,
Ni ukweli ulio wazi kabisa Alikiba ni mmoja wa waimbaji/wanamuziki bora kabisa na mwenye kipaji cha aina yake hasa kuimba ni wazi soko la muziki limebadilika sana na limekuwa...