Msaada jina la hii filamu

Msaada jina la hii filamu

GREAT IDEAS

Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
32
Reaction score
7
Habari wana ukumbi; kuna filamu iliyochezwa wahusika walikuwa 2 white men and black man (kibonge)ambopo Huyu black wakati wa mchezo alikatiza kwenye mto na mamba walimuuma mguu na akashindwa kuendelea na safar na ndipo akiwa chin aliua wanajeshi weng na mwishowe kuuwawa baada ya risasi kuisha na wale wawili waliamua kujitosa kambi ya maadui Lakin babu white alitekwa na kuokolewa Lakin baadae aliuwawa na aliyebakia alidandia helkopta ilyomleta kiongozi
 
Duh movie la zamani hata jina silikumbuki
 
Habari wana ukumbi; kuna filamu iliyochezwa wahusika walikuwa 2 white men and black man (kibonge)ambopo Huyu black wakati wa mchezo alikatiza kwenye mto na mamba walimuuma mguu na akashindwa kuendelea na safar na ndipo akiwa chin aliua wanajeshi weng na mwishowe kuuwawa baada ya risasi kuisha na wale wawili waliamua kujitosa kambi ya maadui Lakin babu white alitekwa na kuokolewa Lakin baadae aliuwawa na aliyebakia alidandia helkopta ilyomleta kiongozi

Nahisi itakua ni 'THE HARD WAY' ya Miles O'Keffee na Henry Silva.
Hii movie imeigizwa mwaka 1989.
Hebu nenda google kwanza kajiridhishe kama ndio yenyewe.
 
Nahisi itakua ni 'THE HARD WAY' ya Miles O'Keffee na Henry Silva.
Hii movie imeigizwa mwaka 1989.
Hebu nenda google kwanza kajiridhishe kama ndio yenyewe.

Bila shaka kwa maelezo aliyoyatoa hiyo movie ni THE HARD WAY THE ONLY WAY.
 
Ndio yenyewe ni aina fulani ya movie ambayo mm siichoki kuangalia hasa ikiambatana na lufufu
 
Back
Top Bottom