Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
Daah! Pamoja na Mzee Majuto kutumia muda wake kuipamba Instagram Party, kumbe mzee wa watu mwisho wa siku katoswa hajapewa hata mia, kuanzia hotel, chakula mpaka usafiri katumia hela yake mfukoni..
Ikumbukwe kua mzee Majuto alipewa mchongo na Wema Sepetu na Wema mwenyewe kakiri kumuunganisha king Majuto na waandaaji wa hiyo party..
Pole sana mzee wetu, jifunze kutokana na makosa!
Ikumbukwe kua mzee Majuto alipewa mchongo na Wema Sepetu na Wema mwenyewe kakiri kumuunganisha king Majuto na waandaaji wa hiyo party..
Pole sana mzee wetu, jifunze kutokana na makosa!