AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Wakuu kwakwel mpaka sasa sielewi nini kimetokea kwa hiz siku 3 tu, Jirani yetu katoa Video 2 mfululizo kwa mbwembwe nyingi ikiwemo ile ya "Nana" alofanya na Mr.Flavour, pia na ile aliyofanya na Iyanya.
Swali, hivi ni kwanini watz wameamua kuzipuuza hizo video zote 2 ambazo zimetumia mamilion ya shilingi? Je tumlahum nani wakuu au ndio kusema siku ya kuanguka nyani miti yote huteleza?
Karibuni kwa mjadala.
Swali, hivi ni kwanini watz wameamua kuzipuuza hizo video zote 2 ambazo zimetumia mamilion ya shilingi? Je tumlahum nani wakuu au ndio kusema siku ya kuanguka nyani miti yote huteleza?
Karibuni kwa mjadala.