Kama leo yakifanyika mashindano ya BSS au Tusker project fame na mengineyo kama hayo, na washindani wakabaki wawili Diamond na Kiba basi nahakika pasi na shaka Alikiba ataibuka mshindi kwa maana ya kujua kuimba vizuri na sauti tamu.
Lakini kwenye soko la ulimwengu wa muziki kujua kuimba vizuri na kuwa na sauti tamu pekee hakukufanyi ukafanikiwa kimuziki,
Siri ya muziki ni mwanamuziki kujua wapenzi wa muziki wanataka nini na uwafanyie nini ili wapende wanachokisikia na wanacho kiona kutoka kwa mwanamuziki.
Diamond anajua wapenzi wa muziki wanataka nini kutoka kwake, anajua awafanyie nini wamjue, anajua aimbe nini, anajua atengeneze video za vipi awakamate wapenzi wake, anajua aishi vipi kuwateka akili washabiki wa muziki.
Zaidi ya hayo anajua apanue vipi wigo wa muziki wake kwa kufanya nini.
Kiufupi Diamond ni bingwa wa mikakati endelevu. Anajua kutumia kila nafasi anayoipata kuhakikisha ina mboost kimuziki bila kujali anatumia gharama kiasi gani wala watu wanasema nini kuhusu yeye.
Una weza kudhani Diamond anafuja pesa kuwasambaza mameneja wake kila kona nje na ndani ya nchi kwenda kusambaza CDs zake za nana wakati unaweza kumrushia mtu hata aliyeko USA kwa whatsap na akaipata.
Unaweza ukamuona mjinga kwenda kwenye shows na msafara wa team yake yenye mameneja, camera man mlinzi nk nk ukadhani anachezea pesa.
Unaweza ukadhani ana date na watu maarufu bahati mbaya ina tokea tu.
Unaweza ukadhani anajikomba kwa wasanii wakubwa wa naijeria na Godfather SA kuwalipa pesa kufanya nao kolabo na videos
Unaweza ukadhani ana ringa kwakuwa haonekani viwanja na kujichanganya na "wenzake" sijui bilz mara escape one mara kule, yeye ni ndani tu, au kukataa kolabo na wasanii hovyo au kuhudhulia show mbuzi.
Unaweza ukamuona mjinga ku expose maisha yake kwa show off kibao za maisha yake
Kwa ufupi hii ndio inaitwa mikakati ya ushindi na mafanikio
Kuna watu wanaweza kudhani mameneja Fella na Babu tale ndio nguzo ya kuu kabisa ya mafanikio ya Diamond,.
Kimsingi huwezi kusema Fella na Tale hawahusiki, lakini ni mwanamuziki mwenyewe ndio msingi mkuu wa mafanikio yake.
Mwanamuziki akijitambua basi mameneja ni kama bonus tu kwenye mafanikio yake.
Niliyoyataja hapo juu ndio ambayo kimsingi Ali Kiba anayakosa.
Tofauti yao kubwa ni kwamba ALI KIBA ANACHOJUA YEYE NI KWAMBA ANAPENDWA TU NA WANAO MFAHAMU HATA IWEJE, WAKATI DIAMOND YEYE ANACHOKIJUA NI AFANYE NINI ILI APENDWE ZAIDI HADI NA WASIO MFAHAMU.
Ndio maana leo hii almost all over the continent Diamond ni jina kubwa kimuziki na Ali Kiba atabakia kupendwa kwenye Fiesta na East Afika kidogo.
Alikiba ni kama haoni wala hasikii vile sababu tayari anao mtaji mkubwa sana wa mashabiki wake Tz lakini sasa hana mikakati yoyote endelevu.
Mwana ni moja ya nyimbo nzuri sana, ailikosea kuitoa na video ikaja baadae sana na matokeo yake sote tunayajua.
The video was amazing lakini tatizo watu walisha tengeneza video zao vichwani kwa karibu miezi kadhaa wakati wana usikiliza na kuucheza, so inapotoka video wanakuta tofauti na badala kuifurahia wanaanza kuikosoa kulingana na maono yao.
Kana kwamba hajui alikosea Kiba karudia yale yale, katoa hit kali cheketua lakini tunaenda mwezi wangapi sijui huu bado video ni kitendawili......... He is not serious
Sijawahi ona mwanamuziki anapendwa namna hii kama Kiba hadi wapenzi wake eti wanampigia magoti awafanyie nini.
Ali kiba is so predictable, yaani hivi sasa unajua kabisa anahangaikia video ya cheketua, mara nimeibiwa mara soth africa machafuko........ Comon guyz.
Nani alijiu nana inakuja? Nasema nawe je? Lini unajua ft p squre ipo tayari au vp?
Kiba hajui hata kucheza na akili za mashabiki wake kabisa.
Nenda page ya insta au fb au tweeter uwone Diamond anavyo wakatisha viuno followers wake all over the world, hadi utapenda isee
Nenda kwa Kiba sasa, daah.
Akipost picha wapenzi wanamuomba tafadhali tutolee kichupa cha cheketua king.
Imefikia eti video ya mwana ikichezwa tv kubwa leo wapenzi wako wanafungua na thread kabisa!!!!!! Unawatesa sana washabiki wako kiba
Alikiba ana niboa sana sababu najua anakitu kikubwa anaweza fanya lakini habebeki.
Nilicho kuja kugundua pengine washabiki wake wanamlemaza.
Naamini akiona wapenzi wake wote wanamkazia na kumwambia ukweli atashtuka kuliko kukalia kumsifia ujinga eti unaweza
Mwisho Kiba kumbuka huu mpambano uliuanzisha mwenyewe ulipozindua Mwana dsm kwa kudai umekuja kuchukua ufalme wako.
Lakini kama ufalme wenyewe ndio huu basi kuna haja kubwa sana ya kuacha kabisa kumlinganisha na kuwapambanisha kiba na mondi maana utakuwa sio mpambano fair.
Cc; aione kiba mwenyewe au mameneja wake
Lakini kwenye soko la ulimwengu wa muziki kujua kuimba vizuri na kuwa na sauti tamu pekee hakukufanyi ukafanikiwa kimuziki,
Siri ya muziki ni mwanamuziki kujua wapenzi wa muziki wanataka nini na uwafanyie nini ili wapende wanachokisikia na wanacho kiona kutoka kwa mwanamuziki.
Diamond anajua wapenzi wa muziki wanataka nini kutoka kwake, anajua awafanyie nini wamjue, anajua aimbe nini, anajua atengeneze video za vipi awakamate wapenzi wake, anajua aishi vipi kuwateka akili washabiki wa muziki.
Zaidi ya hayo anajua apanue vipi wigo wa muziki wake kwa kufanya nini.
Kiufupi Diamond ni bingwa wa mikakati endelevu. Anajua kutumia kila nafasi anayoipata kuhakikisha ina mboost kimuziki bila kujali anatumia gharama kiasi gani wala watu wanasema nini kuhusu yeye.
Una weza kudhani Diamond anafuja pesa kuwasambaza mameneja wake kila kona nje na ndani ya nchi kwenda kusambaza CDs zake za nana wakati unaweza kumrushia mtu hata aliyeko USA kwa whatsap na akaipata.
Unaweza ukamuona mjinga kwenda kwenye shows na msafara wa team yake yenye mameneja, camera man mlinzi nk nk ukadhani anachezea pesa.
Unaweza ukadhani ana date na watu maarufu bahati mbaya ina tokea tu.
Unaweza ukadhani anajikomba kwa wasanii wakubwa wa naijeria na Godfather SA kuwalipa pesa kufanya nao kolabo na videos
Unaweza ukadhani ana ringa kwakuwa haonekani viwanja na kujichanganya na "wenzake" sijui bilz mara escape one mara kule, yeye ni ndani tu, au kukataa kolabo na wasanii hovyo au kuhudhulia show mbuzi.
Unaweza ukamuona mjinga ku expose maisha yake kwa show off kibao za maisha yake
Kwa ufupi hii ndio inaitwa mikakati ya ushindi na mafanikio
Kuna watu wanaweza kudhani mameneja Fella na Babu tale ndio nguzo ya kuu kabisa ya mafanikio ya Diamond,.
Kimsingi huwezi kusema Fella na Tale hawahusiki, lakini ni mwanamuziki mwenyewe ndio msingi mkuu wa mafanikio yake.
Mwanamuziki akijitambua basi mameneja ni kama bonus tu kwenye mafanikio yake.
Niliyoyataja hapo juu ndio ambayo kimsingi Ali Kiba anayakosa.
Tofauti yao kubwa ni kwamba ALI KIBA ANACHOJUA YEYE NI KWAMBA ANAPENDWA TU NA WANAO MFAHAMU HATA IWEJE, WAKATI DIAMOND YEYE ANACHOKIJUA NI AFANYE NINI ILI APENDWE ZAIDI HADI NA WASIO MFAHAMU.
Ndio maana leo hii almost all over the continent Diamond ni jina kubwa kimuziki na Ali Kiba atabakia kupendwa kwenye Fiesta na East Afika kidogo.
Alikiba ni kama haoni wala hasikii vile sababu tayari anao mtaji mkubwa sana wa mashabiki wake Tz lakini sasa hana mikakati yoyote endelevu.
Mwana ni moja ya nyimbo nzuri sana, ailikosea kuitoa na video ikaja baadae sana na matokeo yake sote tunayajua.
The video was amazing lakini tatizo watu walisha tengeneza video zao vichwani kwa karibu miezi kadhaa wakati wana usikiliza na kuucheza, so inapotoka video wanakuta tofauti na badala kuifurahia wanaanza kuikosoa kulingana na maono yao.
Kana kwamba hajui alikosea Kiba karudia yale yale, katoa hit kali cheketua lakini tunaenda mwezi wangapi sijui huu bado video ni kitendawili......... He is not serious
Sijawahi ona mwanamuziki anapendwa namna hii kama Kiba hadi wapenzi wake eti wanampigia magoti awafanyie nini.
Ali kiba is so predictable, yaani hivi sasa unajua kabisa anahangaikia video ya cheketua, mara nimeibiwa mara soth africa machafuko........ Comon guyz.
Nani alijiu nana inakuja? Nasema nawe je? Lini unajua ft p squre ipo tayari au vp?
Kiba hajui hata kucheza na akili za mashabiki wake kabisa.
Nenda page ya insta au fb au tweeter uwone Diamond anavyo wakatisha viuno followers wake all over the world, hadi utapenda isee
Nenda kwa Kiba sasa, daah.
Akipost picha wapenzi wanamuomba tafadhali tutolee kichupa cha cheketua king.
Imefikia eti video ya mwana ikichezwa tv kubwa leo wapenzi wako wanafungua na thread kabisa!!!!!! Unawatesa sana washabiki wako kiba
Alikiba ana niboa sana sababu najua anakitu kikubwa anaweza fanya lakini habebeki.
Nilicho kuja kugundua pengine washabiki wake wanamlemaza.
Naamini akiona wapenzi wake wote wanamkazia na kumwambia ukweli atashtuka kuliko kukalia kumsifia ujinga eti unaweza
Mwisho Kiba kumbuka huu mpambano uliuanzisha mwenyewe ulipozindua Mwana dsm kwa kudai umekuja kuchukua ufalme wako.
Lakini kama ufalme wenyewe ndio huu basi kuna haja kubwa sana ya kuacha kabisa kumlinganisha na kuwapambanisha kiba na mondi maana utakuwa sio mpambano fair.
Cc; aione kiba mwenyewe au mameneja wake