Dr Aluta
Senior Member
- Apr 16, 2015
- 121
- 39
siku ya jana kiba alifanya jambo ambalo si la kawaida kwa wasanii wengi.aliamua kuzunguka kwenye madalala ili aweze kuongea na mashabik wake. alianzia mbagala mpaka posta, kisha posta mpaka gongo la mboto. mwisho gongo la mboto mpaka mwenge. na katika gari analopanda nauli za abiria wote analipa yeye. kiba amewaonyesha wasanii weng wawe na shukran kwa mashabik wao pale wanapopewa support. tumeona wasanii weng wakibeba tuzo 5 na wengine zaid ya hizo. lakin shukran zao ni haba. leo atazunguka tena. hongera sana kiba.