Ali Kiba: Sifurahishwi na Team za mtandaoni

Ali Kiba: Sifurahishwi na Team za mtandaoni

Cardinal06

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
963
Reaction score
327
Msanii huyo wa bongo fleva na mshindi wa KTMA 2014/15 Ali Kiba amesema hayo alipo ongea katika kipindi cha Leo tena cha Clouds Fm yeye hana nguvu kuzizuia timu za watu kwenye mitandao ya kijamii, na wala hajaungana na Wema ili kumchafua Diamond mitandaoni kwa sababu yeye hakubali kuwepo kwa kitu ugomvi mahali popote, ila kuna ishu ya wasanii wenyewe kutopeana support !!
 
Kauli ya hekima ni mwiba kwa cute b, Matola, ms lincoln, Diva Beyonce na timu yao. Mfalme amewakana kweupee tafuteni kazi nyingine siyo kushinda kwenye mitandao.
 
Ila mwambie dogo mondi ni moto mwingine!!
 
Mmmmmmmhhhhh...! Kweeeli kabisa tukitaka tuinue mziki wa bongo tuachane na hii kitu ya team nani na team huyu...? Koz tunajibagua wenyewe alafu tunaanza kumsaka mchawi ni nani
 
Msanii huyo wa bongo fleva na mshindi wa KTMA 2014/15 Ali Kiba amesema hayo alipo ongea katika kipindi cha Leo tena cha Clouds Fm yeye hana nguvu kuzizuia timu za watu kwenye mitandao ya kijamii, na wala hajaungana na Wema ili kumchafua Diamond mitandaoni kwa sababu yeye hakubali kuwepo kwa kitu ugomvi mahali popote, ila kuna ishu ya wasanii wenyewe kutopeana support !!

Sijui team upuuzi,eti team mbunge viti vya kupewa,team sijui makombo,team mfalme wa kariakoo,eti team zari la mentali et team tandale yote upuuzi tu,Vote for diamond n Vanessa mdee kwisha
 
Back
Top Bottom