Ukweli Kuhusu Diamond Platnumz

Ukweli Kuhusu Diamond Platnumz

Shekuna

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
688
Reaction score
549
Amini usiamini huyu kijana hakuna wa kumfananisha naye kwa sasa Afrika Mashariki na kati katika suala zima la muziki.Kafanya mambo makubwa ambayo hakuna msanii ambaye ameweza kuthubutu.Nimefuatilia KTMA-2015 naona jinsi Tanzania tulivyojidhalilisha kwa kushndwa kumpa dogo haki yake na wao wenyewe wamelithibitisha hilo.nchi za watu wanatushangaa

MY TAKE:Huwezi mfananisha hako kasanii kenu mnakokaita Mwana na huyu bwamdogo kiuchumi,kimuziki na kila ktu.Watanzania acheni kuishangaza dunia kwa kumponda mtu ambaye amekuza muziki wa bongo fleva ufahamike kila kona duniani
NB:SINA USHABIKI NA TEAM'S
 
subiria mtv ndio utaisoma vizuri
mond kajiloga mwenyewe

yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...
mfano:marytina niwe na diploma , mond apewe digrii
, niwe milionea mond awe bilionea
ntachagua kupofushwa jicho mmoja ili MOND apofushwe mawili....hahah hah

mond aliunga mkono katiba mpya na KAIMBA KIBWAGIZO KWAMBA TUIPIGIE KURA leo anaitwa mzalendoo ni upuuzi gani huu.....hii KATIBA SITTA itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo wakati mond akikosa TUZO vanessa atanyakuwa na kuiwakilisha nchi

hamshangai kwa nini hatuna ugomvi na vanessa???ich wurde vote fur davido to punish domo
 
subiria mtv ndio utaisoma vizuri
mond kajiloga mwenyewe

yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...
mfano:marytina niwe na diploma , mond apewe digrii
, niwe milionea mond awe bilionea
ntachagua kupofushwa jicho mmoja ili MOND apofushwe mawili....hahah hah

mond aliunga mkono katiba mpya na KAIMBA KIBWAGIZO KWAMBA TUIPIGIE KURA leo anaitwa mzalendoo ni upuuzi gani huu.....hii KATIBA SITTA itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo wakati mond akikosa TUZO vanessa atanyakuwa na kuiwakilisha nchi

hamshangai kwa nini hatuna ugomvi na vanessa???ich wurde vote fur davido to punish domo

una hasira kweli chagadema
 
subiria mtv ndio utaisoma vizuri
mond kajiloga mwenyewe

yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...
mfano:marytina niwe na diploma , mond apewe digrii
, niwe milionea mond awe bilionea
ntachagua kupofushwa jicho mmoja ili MOND apofushwe mawili....hahah hah

mond aliunga mkono katiba mpya na KAIMBA KIBWAGIZO KWAMBA TUIPIGIE KURA leo anaitwa mzalendoo ni upuuzi gani huu.....hii KATIBA SITTA itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo wakati mond akikosa TUZO vanessa atanyakuwa na kuiwakilisha nchi

hamshangai kwa nini hatuna ugomvi na vanessa???ich wurde vote fur davido to punish domo
Usitletee mihemko ya kisiasa hapa! Watu wapo kewenye burudani na kutengeneza fedha, unajuwa Diamond kalipwa kiasi gani kwa huo wimbo?. Hizo tunzo zenu kwani zingiza kiasi gani!
 
hahahahahaha mtu ajakutukania mama yako wala hajakufanyia jambo lolote baya ktk maisha yako halaf unamchukia nyie ata ufalme wa mungu hamuwez kuona kwa roho mbaya hzo zczokua na sababu mond maisha yanaendelea na anazid kupa mafanikio ya mtu huwez kuyakatisha n mungu peke yake na uyo ali kiba kama anaweza kwnn asitumie fursa tokea mwanzo kaanza kujulkna mond anauza vtumbua na mama yake mond amepata nafas ameitumia vzur mijitu yenye roho mbaya kama nyie mnapitia mgongo wa mond kupata mafanikio halaf mnajua kuongea mbaya mond akifa leo na uyo kiba wenu habar yake kwsha mond gooooooo
 
subiria mtv ndio utaisoma vizuri
mond kajiloga mwenyewe

yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...
mfano:marytina niwe na diploma , mond apewe digrii
, niwe milionea mond awe bilionea
ntachagua kupofushwa jicho mmoja ili MOND apofushwe mawili....hahah hah

mond aliunga mkono katiba mpya na KAIMBA KIBWAGIZO KWAMBA TUIPIGIE KURA leo anaitwa mzalendoo ni upuuzi gani huu.....hii KATIBA SITTA itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo wakati mond akikosa TUZO vanessa atanyakuwa na kuiwakilisha nchi

hamshangai kwa nini hatuna ugomvi na vanessa???ich wurde vote fur davido to punish domo

akili za kimasikini
 
Amini usiamini huyu kijana hakuna wa kumfananisha naye kwa sasa Afrika Mashariki na kati katika suala zima la muziki.Kafanya mambo makubwa ambayo hakuna msanii ambaye ameweza kuthubutu.Nimefuatilia KTMA-2015 naona jinsi Tanzania tulivyojidhalilisha kwa kushndwa kumpa dogo haki yake na wao wenyewe wamelithibitisha hilo.nchi za watu wanatushangaa

MY TAKE:Huwezi mfananisha hako kasanii kenu mnakokaita Mwana na huyu bwamdogo kiuchumi,kimuziki na kila ktu.Watanzania acheni kuishangaza dunia kwa kumponda mtu ambaye amekuza muziki wa bongo fleva ufahamike kila kona duniani
NB:SINA USHABIKI NA TEAM'S

Chamilionne vp?
 
subiria mtv ndio utaisoma vizuri
mond kajiloga mwenyewe

yaan nshasema MUNGU akiniuliza anipe zawadi gani ila atampa mondi mara mbili yangu...
mfano:marytina niwe na diploma , mond apewe digrii
, niwe milionea mond awe bilionea
ntachagua kupofushwa jicho mmoja ili MOND apofushwe mawili....hahah hah

mond aliunga mkono katiba mpya na KAIMBA KIBWAGIZO KWAMBA TUIPIGIE KURA leo anaitwa mzalendoo ni upuuzi gani huu.....hii KATIBA SITTA itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo wakati mond akikosa TUZO vanessa atanyakuwa na kuiwakilisha nchi

hamshangai kwa nini hatuna ugomvi na vanessa???ich wurde vote fur davido to punish domo

mimi pia siikubali katiba pendekezwa ila hii sababu yako iko too soft haina mashiko ni hoja ya kitoto.
 
natamani nikuone siku moja..sijui unafanana na akili yako....maana u mtupu kabisa
 
Back
Top Bottom