Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Daah! Pamoja na Mzee Majuto kutumia muda wake kuipamba Instagram Party, kumbe mzee wa watu mwisho wa siku katoswa hajapewa hata mia, kuanzia hotel, chakula mpaka usafiri katumia hela yake...
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Mimi sijaelewa hizi nafasi hua zinapatikanaje! Ili mtu aqualify kua jaji TMT anatakiwa kuwa na vigezo gani? Au tu kwa sababu mtu ni migizaji ndiyo kigezo? Hapa ndo mtu unajua kua ni kupeana tu...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
My take: Hivi ni vigezo gani huwa vinatumika mpaka msanii anakuwa nominated, maana sijaona kabisa kijana wetu Diamond akiwa nominated mwaka huu japokuwa bado anaendelea kufanya vizuri.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi kusema kweli siko timu Kiba wala timu Dimond. Mi nawapenda wote, na wote nafurahia kazi zao kwa kweli. Tena nawapongeza sana kwa huu ushindani wao wa kimuziki. Kiukweli unawafanya wote...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakuu kwakwel mpaka sasa sielewi nini kimetokea kwa hiz siku 3 tu, Jirani yetu katoa Video 2 mfululizo kwa mbwembwe nyingi ikiwemo ile ya "Nana" alofanya na Mr.Flavour, pia na ile aliyofanya na...
1 Reactions
99 Replies
10K Views
muvi ya merlin naipenda sana wadau ina waigizaji mahiri nadhani ni wakati sasa wabongo kufata nyayo km za wenzetu waigizaji wa kigeni km kina merlin
6 Reactions
64 Replies
22K Views
hivi nani aijuaye game ya draft, ukicheza na ukafunga msichana anavua nguo, ukifunga tena anazidi kuvua. mwenye kulijua naomba anifahamishe.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TOP ARTIST Ariana Grande One Direction Katy Perry Sam Smith Taylor Swift -- WINNER TOP COUNTRY ARTIST Jason Aldean Luke Bryan Florida Georgia Line -- WINNER Brantley Gilbert Blake Shelton...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu,wapi nitapata wimbo wa justin kalikawe-usitumie cheo chako kama dhamana?thanks in advance pals.
0 Reactions
2 Replies
13K Views
Sijui ni lini watu wa Industry ya Bongo movies waliingia mkataba/ ubia na mabasi ya abiria nchi nzima kutulazimisha Watanzania kuangalia movie hizi za still picture na mnato zikisindikizwa na...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Haka kawimbo nimekapenda nadhan ladies watakapenda pia https://www.youtube.com/watch?v=BGvOaGp5M-4
0 Reactions
3 Replies
841 Views
Wimbo bora wa mwaka: Je, kuna wimbo bora zaidi ya Mwana? Wimbo bora wa Afro pop: Je, upi zaidi ya mwana? Au unataka uniambie ule mchiriku wa mdogomdogo kutoka kwa jirani yetu? Hahahaha.. Mtunzi...
4 Reactions
44 Replies
6K Views
Below is a list of the 10 most viewed music videos by Bongo Flava artists 1. Number one(remix)- Diamond ~ 8,776,520 2. Number one- Diamond ~ 4,384,532 3. Ntampata wapi- Diamond ~ 4,072,701 4...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wana Jf Sasa hivi nina kama miaka 5 nacheza online betting(ladbrokes.com), napendelea sana soccer, sometime ice hockey, tennis, baseball na basketball. Kuna wana Jf humu jamvini wanatumia hii...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
"Again n again" - Ni mtazamo tu! Laiti kama ningelikuwa FID Q Mwana Hiphop mkali Bongo; - Ningepiga collabo na Fat Joe faster pale tu nilipokutana nae na kuonesha kukikubali kipaji changu. -...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa wale wapenzi wa mieleka kama WWC, WWA. Ambapo kuna wapiganaji kama John Seaner, Hulk Hogan, TRIPLE H. na wengineo. Swali; Hivi kwanini hawa jamaa licha ya kupeana vipigo vya mbwa mwizi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ilitangazwa kuwa wata wakilisha Tanganyika kwenye hiyo project. Lakini namuona Fid q na narleal tu wakiwa huko Nairobi. Vipi hao wengine au ndo zilikua story za vijiweni tu?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Dah huruma sana watu wanalia lakini mtu hata hawasikii :(:mad::confused: inahitaji moyo wa chuma aisee! :p:D:D
0 Reactions
83 Replies
8K Views
Yaaap! samahani lakini! Bila shaka tunaenda sawa. Laiti kama ningelikuwa Ally Kiba, ningefanya yafuatayo; - Ningeua nyani huku namuangalia usoni. Yaani ningevunja vunja uongozi wangu wote na...
1 Reactions
70 Replies
6K Views
Jamani jana si ndo zanzibar wanjera Concert ..cha kushangaza hakuna anayetoa yaliojiri vipi ilikuwaje na mashauzi ya Mr vishimo mpaka sasa hivi IG kimya naye mama Wanjera kimya wars going on
2 Reactions
84 Replies
9K Views
Back
Top Bottom