Mi mwenzenu ukimwi nauogopa bora nitafute mwali,nimatafute wa makamu na twende hospitali,tukamuone daktari au kijana mshauri,sio kwamba akatutibu bali atupe ushauri
Najua ukiupata we ni kwako,nyumbani kwako we na mke wako,shauri yako..na hata ukilia nani atasikia..kuna kundi la vijana wengiwengi watakuja kukutizama,wakikusabai amka ule mayai uendelee kuwa hai,japo mwanzo walikwambia unakokwenda siko huko..hii ndo bongo,kuna machangu wazuri weupe kama wazungu,kazi yao kuleta machungu,lakini yote haya yana Mungu
Cheki sasa ulivyo mweusi kuliko chungu,hakuna la kusubiri zaidi ya kaburi,nyumba ya halali iliyosheheni wenye viburi.
Ungelikuwa mwangalifu mwaminifu wote tungekusifu,ila kwa sasa mgeni wa yesu,bila kusita ukavunja amri ya sita,umebaki kujutajuta,majuto mjukuu hakuna unafuu,yamekukuta makuu,ufwile mundu gwa kyala