Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Uganda Entertainment Awards wametangaza wasanii wanaowania kipengele cha Best African Act 2015. Wizkid Diamond platnumz Patoranking Tiwa Savage Active
3 Reactions
70 Replies
6K Views
utazame hapa, na video imefanywa na Director wa Kitanzania,
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Maisha ya mwanadamu ni kama maua, yanachanua na kunyauka....huyu mshkaji aliyekuwa askar magereza sijui aliibukia wap akapata hela kibao, akaishi maisha ya kifahari na anasa kibao, akimilika...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Dudu Baya anapingana na kauli kuwa muziki wa Tanzania umepenya Afrika. Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo amesema muziki wa Tanzania haujapenya kwakuwa...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Nimekuwa nikiwakumbuka watu wa zamani sana katika burudani na sanaa ua uchoraji . nakumbuka namna mabvyo tulikuwa tunapata burudani na elimu kupitia michoro yao kwenye magazeti na magazne mbali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote aliepata bahati ya kuicheki ngoma mpya ya I'm kcee atakubaliana na hiki nnachosema huyu mtoto ni nyoko, hafai anatisha nje ndani,hakuna wa kufanana na uwezo wake kwa Tanzania. Note...
9 Reactions
102 Replies
18K Views
Jamani nilikuwa na hitaji kujua jina la nyimbo mpya ya AT naona video yake ila cja bahatika kujua jina la nyimbo hiyo,,,,,,,
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Kila kukicha kuna series kibao na mamovie ya kumwaga. And every serie is nothing new. Hivi kina Jack Bauer siku hizi hawawezi kuwa replaced? Hebu angalia haya madude Hebu na nyie ongezeni...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
mwenye mp3 original version ya Uswahilini matola Kosa la marehemu aipandishe hapa
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Baada ya kijana wangu kunisisitiza nimpigie kura mwanamziki anayempenda katika MTV mama awards, nimelazimika kutembelea website ya MTV BASE ili kutimiza ahadi niliyoitoa jana jioni kwa mtoto...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Kuna nyimbo zikipigwa hata kila huwa nahisi kama bado mpya vile... 10. BUSHOKE - NINKUGONZA 9. BEYONCE - HELLO 8.ALI KIBA - NAKSHI NAKSHI 7.2 FACE - IF LOVE IS A CRIME 6. MB DOG -...
1 Reactions
24 Replies
12K Views
Video mpya ya malengandary wa muziki duniani, rais wa wasafi duniani,Diamond Platnumz na mtaalam Kcee leo wanaachia video yao bora ambayo haijawahi tokea duniani,majira ya saa sita mchana.stay...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Tafuta wasaa. Uipitie video ya Mwana BongoFleva huyo Kiba 4real. Hakika anerejea vilivyo.. Chekecha cheketuaaaaa!
6 Reactions
580 Replies
54K Views
dah kwa namna hii ni dhambi kumfananisha diamond platinumz na kibakuli fungua hapa https://www.youtube.com/watch?v=-RBywChlfdc
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtv Base wamewataja na kuthibitisha wasanii watakao tumbuiza nchini nigeria kwenye mtv base africa road to MAMA july 3. Iyanya Olamide Yemi Alade Phynofino Diamond platnumz Lilkesho
1 Reactions
72 Replies
10K Views
msanii tajiri kuliko wasanii wote Tanzania ambae anaishi na mwanamke mrembo kuliko wanawake wote afrika, wanaeishi nae katika ikulu ndogo ya Madale ambapo hakuna msanii yeyote aliefikia hadhi...
9 Reactions
54 Replies
7K Views
Kama kasi ya kuporomoka kwa Muziki wa Bendi (Rumba na Dansi) itaendelea katika awamu ijayo (awamu ya 5) hakuna shaka kwamba Bendi kongwe (Msondo Ngoma na Sikinde) zaweza kutoweka, kufutika na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu hope mko powa. Kuna huu wimbo huwa naukumbuka niliusikia sehemu ila sikuukariri vizuri na wala sina uhakika kama muimbaji ninayemdhani ni yeye au la! Wimbo wenyewe una maneno ambayo...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Mi ni big fan wa mazingaombwe ....huwa nina maswali mengi natamani kupata maji bu na hasa nikimtazama Criss Angel akifanya mazingaombwe yake huwa nashangaa sana kama kuna watu wanaweza ku share a...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…