Maisha ya mwanadamu ni kama maua, yanachanua na kunyauka....huyu mshkaji aliyekuwa askar magereza sijui aliibukia wap akapata hela kibao, akaishi maisha ya kifahari na anasa kibao, akimilika...
Dudu Baya anapingana na kauli kuwa muziki wa Tanzania umepenya Afrika.
Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo amesema muziki wa Tanzania haujapenya kwakuwa...
Nimekuwa nikiwakumbuka watu wa zamani sana katika burudani na sanaa ua uchoraji . nakumbuka namna mabvyo tulikuwa tunapata burudani na elimu kupitia michoro yao kwenye magazeti na magazne mbali...
Kwa yeyote aliepata bahati ya kuicheki ngoma mpya ya I'm kcee atakubaliana na hiki nnachosema huyu mtoto ni nyoko, hafai anatisha nje ndani,hakuna wa kufanana na uwezo wake kwa Tanzania.
Note...
Kila kukicha kuna series kibao na mamovie ya kumwaga.
And every serie is nothing new.
Hivi kina Jack Bauer siku hizi hawawezi kuwa replaced?
Hebu angalia haya madude
Hebu na nyie ongezeni...
Baada ya kijana wangu kunisisitiza nimpigie kura mwanamziki anayempenda katika MTV mama awards, nimelazimika kutembelea website ya MTV BASE ili kutimiza ahadi niliyoitoa jana jioni kwa mtoto...
Kuna nyimbo zikipigwa hata kila huwa nahisi kama bado mpya vile...
10. BUSHOKE - NINKUGONZA
9. BEYONCE - HELLO
8.ALI KIBA - NAKSHI NAKSHI
7.2 FACE - IF LOVE IS A CRIME
6. MB DOG -...
Video mpya ya malengandary wa muziki duniani, rais wa wasafi duniani,Diamond Platnumz na mtaalam Kcee leo wanaachia video yao bora ambayo haijawahi tokea duniani,majira ya saa sita mchana.stay...
Mtv Base wamewataja na kuthibitisha wasanii watakao tumbuiza nchini nigeria kwenye mtv base africa road to MAMA july 3.
Iyanya
Olamide
Yemi Alade
Phynofino
Diamond platnumz
Lilkesho
msanii tajiri kuliko wasanii wote Tanzania ambae anaishi na mwanamke mrembo kuliko wanawake wote afrika, wanaeishi nae katika ikulu ndogo ya Madale ambapo hakuna msanii yeyote aliefikia hadhi...
Kama kasi ya kuporomoka kwa Muziki wa Bendi (Rumba na Dansi) itaendelea katika awamu ijayo (awamu ya 5) hakuna shaka kwamba Bendi kongwe (Msondo Ngoma na Sikinde) zaweza kutoweka, kufutika na...
Wakuu hope mko powa.
Kuna huu wimbo huwa naukumbuka niliusikia sehemu ila sikuukariri vizuri na wala sina uhakika kama muimbaji ninayemdhani ni yeye au la!
Wimbo wenyewe una maneno ambayo...
Mi ni big fan wa mazingaombwe ....huwa nina maswali mengi natamani kupata maji bu
na hasa nikimtazama Criss Angel akifanya mazingaombwe yake huwa nashangaa sana
kama kuna watu wanaweza ku share a...