Hii video naingalia mara nyingi lakini kama siielewi, inshort ni video ya kawaida sana, rangi ya kawaida pia kiasi kwamba hata Nisher au Hascana angeweza kutengeneza nzuri zaidi ya hiyo...
Juzi niliweka hii post lakini siioni.natafuta mwenye link au aliye na nyimbo za hamasa za vyama hivyo,hutumika sana sana katika kampeini. nazitafuta kwa kazi maalum.
nitashukuru
Wadau kuna movie niliona kitambo ila jina sikumbuki, ni horror movie na kisa kinaanzia pale kijana mmoja na girlfriend wake walipoenda porini kwa ajiri ya mapumziko!!
Huko porini wakakuta...
Habari wakuu..
Mi nlikuwa na shida ya software ya kurestore data na files baada ya kuformat corrupted partition ya external hdd...ntashukuru sana km ntapata ambayo ni full version ambayo...
Nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000 video nyingi za bongo fleva zilirekodiwa na list ya kampuni zifuatazo:
1. Royal production
2. Mwananchi videoz
3. African pictures
4. Benchmark
5. 2...
Hizi timu za kina Diamond na Alikiba zinatufanya tusahau hata wasanii wengine wanaofanya vizuri, mi sikujua kama 'Nusunusu' wa Joh unafanya vizuri hivyo kwenye channel kubwa hadi nilivyotembelea...
Habarini wakuu.
Nimesomea masuala ya Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
Na nina interest kubwa katika utangazaji wa redio na Tv.
Kwa anayefahamu utaratibu wa mtu kuweza kupata nafasi ya kujitolea...
By now you either are on board or not with the idea of Ben Affleck playing Batman in the upcoming Batman vs Superman movie. If you're still not comfortable with it, get used to it quick. On...
Nimejaribu kumfatilia huyu dogo yuko vizuri anajua kuimba, nyimbo zake nzuri, sasa nashangaa inakuwaje hang'ai wakati yuko chini ya menejimenti ya bingwa wa kung'arisha nyota za watu 'Wema...
Hawajamaa ni noma,
Hasa yule bother K, duu wamaebarikiwa vipaji. Hata kama una mawazo vipi ukiwaangalia futuhi lazima utacheka tu.
Big Up sana FUTUHI na Star tv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.