Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

"When I Dream At Night" I have been in love and been alone I have traveled over many miles to find a home there's that little place inside of me that I never thought could take control of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Toafauti ya kwanza kabisa, inayotofautisha kati ya KTMA na MTV Awards ni kwamba, kwa KTMA, msanii ana uwezo wa kutoka na kontena moja la tuzo peke yake na kwa wakati mmoja wakati kwa MTV ni ndoto...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
"Bad Card" You a-go tired fe see me face; Can't get me out of the race. Oh, man, you said I'm in your place And then you draw bad cyard - A-make you draw bad cyard, And then you draw bad...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu muziki wa taarabu umeanza kuelekea pabaya zaidi tofauti na mwanzo ilianza taarab asilia ikaja #modern #taarab na sasa ni #modern #taradance. Muziki umegeuka vijembe,matusi ya live yaso...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu kuna pumba wanalishwa kuwa Mondy ni msanii mkubwa Africa kuliko hata wakina Wizkid, cha kujiuliza ni kwamba kwanini hawajawahi kumpa show huko apige aingize mpunga zaidi tu ya show za event...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Leo nawaletea malkia wa hizi kazi Bi khadija Omar Koppa. Napenda kuuliza mbona watu wengi wanaofanya Taarab wanachuja mapema lakini huyu mama Decade to decade bado anasumbua mitaa,Yani yeye...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Waungwana Kuna huu wimbo unaitwa "Riziki" ambao umeimbwa kwenye mahadhi ya Taarab. Sina uhakika na aliyeuimba, pengine ni Leila Salum au Latifa Salum. Mwenye kuujua tafadhali anijulishe. Mke...
0 Reactions
16 Replies
17K Views
hiz ni tv series zilizo chini ya genius chuck lorre, jamaa ana asili ya israel na moja ya vitu vinavyofanya asifike ni hz series, 2 n half men kidogo ilichange baada ya charlie sheen kufukuzwa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Katika mchezo huu, unapewa dakika 12 kuandika nchi zote katika box, moja baada ya nyingine. Kila nchi unayoiandika inabadili rangi na kuwa ya kijani katika ramani. Kuna nchi 196. Ukimaliza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chibu Is A "Very Coward Artist".He Can Never Stand By Himself And Make A Hit-Song Without Backed Up By Nigerian Artists.For That Reason He Has No Legitimacy Of Being Classified As An International...
7 Reactions
296 Replies
19K Views
Nimejikuta nausikia huu wimbo kichwani kwangu siku ya leo.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuwa wa kwanza kupata habari kutoka kwa watumaarufu uwapendao. Tembelea Oneclick Tanzania Online Media
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi! Bila shaka sikuu imekuwa njema kwa kila mtu! Leo kuna tukio kubwa kwenye tasnia ya burudani Africa nalo ni tunzo za MTV zitakazo fanyika Durban leo! Wanamuziki wa tanzania...
21 Reactions
1K Replies
99K Views
sijaona msanii kama huyu duniani,almost five years jela lakini anakimbiza industry ya dancehall vibaya,najua wabongo wengi hawasikilizi dancehall lakini kama unataka kumjua huyu jamaa ni pm au...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Huwa napenda sana kipindi cha Sports Bar cha Clouds. Naona wanaongea sana kuhusu Ndondo Cup. Sasa jana walikuwa timu ya Kauzu yule jamaa ana uwezo kweli wa kumobilize watu ila ile lugha bana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
sijui mwezi mtukufu ngoja tuone ....fuatana nami
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Super Star Salman Khan known for his macho actions roles makes complete change over in 'Bajrangi Bhaijan ' directed by Kabir Khan. Film revolve around a lost girl child from Pakistan in India and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
50 Cent can no longer afford to take you to the candy shop. The "Disco Inferno" rapper, 40, appeared in court in Manhattan on Tuesday, July 22, to discuss his finances as he faces a $5 million...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom