Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

https://www.youtube.com/watch?v=3F4dwUaVV28
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Shindano la Tanzania Top Model litafanyika kwa mara ya kwanza nchini siku ya Jumamosi 7/12/2013 katika ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere ulioko Jijini Dar es salaam katka barabara ya Shaaban Robert...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wasikilizaji wa DW swahili(Idhaa ya kiswahili ya sauti ya ujerumani) kuna kipindi cha makala ya Afrika kinachozungumzia masuala mbalimbali yanayohusu bara la Afrika. Wakati kipindi hicho...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wadau naombeni list ya nyimbo za Album ya "Mambo iko Huku" kuna wimbo mzuri sana ulikuwa katika hiyo album "tape cassette". Wimbo huo nimeusahau jina ila ulikuwa side B ya album hiyo. Mkiweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna wimbo umekuwa ukisikika sana ambao unaenda kwa mtindo huu "paile paile paile.....paile paile..." Ninaomba kwa anayefahamu jina la wimbo na msanii aliyeuimba tafadhali anijulishe. Natanguliza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF Mi ni kijana lakini ni mpenzi sana wa music wa kizamani ila bahati mbaya sijui historia zao basi naomba mwenye kujua historia au wapi ntapata historia za wanamuziki au band...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Jamani wadau naomba mtu yoyote anayeweza kunisaidia kuupata wimbo wa maprosoo
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Uganda Entertainment Awards wametangaza wasanii wanaowania kipengele cha Best African Act 2015. Wizkid Diamond platnumz Patoranking Tiwa Savage Active
3 Reactions
70 Replies
6K Views
utazame hapa, na video imefanywa na Director wa Kitanzania,
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Maisha ya mwanadamu ni kama maua, yanachanua na kunyauka....huyu mshkaji aliyekuwa askar magereza sijui aliibukia wap akapata hela kibao, akaishi maisha ya kifahari na anasa kibao, akimilika...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Dudu Baya anapingana na kauli kuwa muziki wa Tanzania umepenya Afrika. Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo amesema muziki wa Tanzania haujapenya kwakuwa...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Nimekuwa nikiwakumbuka watu wa zamani sana katika burudani na sanaa ua uchoraji . nakumbuka namna mabvyo tulikuwa tunapata burudani na elimu kupitia michoro yao kwenye magazeti na magazne mbali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote aliepata bahati ya kuicheki ngoma mpya ya I'm kcee atakubaliana na hiki nnachosema huyu mtoto ni nyoko, hafai anatisha nje ndani,hakuna wa kufanana na uwezo wake kwa Tanzania. Note...
9 Reactions
102 Replies
18K Views
Jamani nilikuwa na hitaji kujua jina la nyimbo mpya ya AT naona video yake ila cja bahatika kujua jina la nyimbo hiyo,,,,,,,
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Kila kukicha kuna series kibao na mamovie ya kumwaga. And every serie is nothing new. Hivi kina Jack Bauer siku hizi hawawezi kuwa replaced? Hebu angalia haya madude Hebu na nyie ongezeni...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
mwenye mp3 original version ya Uswahilini matola Kosa la marehemu aipandishe hapa
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Baada ya kijana wangu kunisisitiza nimpigie kura mwanamziki anayempenda katika MTV mama awards, nimelazimika kutembelea website ya MTV BASE ili kutimiza ahadi niliyoitoa jana jioni kwa mtoto...
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Kuna nyimbo zikipigwa hata kila huwa nahisi kama bado mpya vile... 10. BUSHOKE - NINKUGONZA 9. BEYONCE - HELLO 8.ALI KIBA - NAKSHI NAKSHI 7.2 FACE - IF LOVE IS A CRIME 6. MB DOG -...
1 Reactions
24 Replies
12K Views
Back
Top Bottom