Habarini wakuu.
Nimesomea masuala ya Lugha ya Kiingereza na Kiswahili.
Na nina interest kubwa katika utangazaji wa redio na Tv.
Kwa anayefahamu utaratibu wa mtu kuweza kupata nafasi ya kujitolea...
By now you either are on board or not with the idea of Ben Affleck playing Batman in the upcoming Batman vs Superman movie. If you're still not comfortable with it, get used to it quick. On...
Nimejaribu kumfatilia huyu dogo yuko vizuri anajua kuimba, nyimbo zake nzuri, sasa nashangaa inakuwaje hang'ai wakati yuko chini ya menejimenti ya bingwa wa kung'arisha nyota za watu 'Wema...
Hawajamaa ni noma,
Hasa yule bother K, duu wamaebarikiwa vipaji. Hata kama una mawazo vipi ukiwaangalia futuhi lazima utacheka tu.
Big Up sana FUTUHI na Star tv.
Shindano la Tanzania Top Model litafanyika kwa mara ya kwanza nchini siku ya Jumamosi 7/12/2013 katika ukumbi wa Mwalimu JK Nyerere ulioko Jijini Dar es salaam katka barabara ya Shaaban Robert...
Kwa wale wasikilizaji wa DW swahili(Idhaa ya kiswahili ya sauti ya ujerumani) kuna kipindi cha makala ya Afrika kinachozungumzia masuala mbalimbali yanayohusu bara la Afrika.
Wakati kipindi hicho...
Wadau naombeni list ya nyimbo za Album ya "Mambo iko Huku" kuna wimbo mzuri sana ulikuwa katika hiyo album "tape cassette". Wimbo huo nimeusahau jina ila ulikuwa side B ya album hiyo.
Mkiweza...
Kuna wimbo umekuwa ukisikika sana ambao unaenda kwa mtindo huu "paile paile paile.....paile paile..." Ninaomba kwa anayefahamu jina la wimbo na msanii aliyeuimba tafadhali anijulishe.
Natanguliza...
Habari zenu wana JF
Mi ni kijana lakini ni mpenzi sana wa music wa kizamani ila bahati mbaya sijui historia zao basi naomba mwenye kujua historia au wapi ntapata historia za wanamuziki au band...
Maisha ya mwanadamu ni kama maua, yanachanua na kunyauka....huyu mshkaji aliyekuwa askar magereza sijui aliibukia wap akapata hela kibao, akaishi maisha ya kifahari na anasa kibao, akimilika...
Dudu Baya anapingana na kauli kuwa muziki wa Tanzania umepenya Afrika.
Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo amesema muziki wa Tanzania haujapenya kwakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.