Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Inaitwa " Simba Bado Anawinda " amemshirikisha nadhani Jebby. Mi nimeielewa sana. Big up sana Taikuni Ally. Umerudi tena mjini.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
BET Awards waliamua kuweka vipengele viwili vya Best International Act kwa Afrika na UK ili kutambua ukubwa wa viwanda ya muziki katika maeneo hayo. Hata hivyo vipengele hivi hutolewa saa chache...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
MARIO BY LUAMBO LUANZO MAKIADI Oh Mario Luka ata mwasi yo moko obala- OH MARIO, LOOK FOR AN APPROPRIATE WOMAN THAT YOU WILL MARRY Mario mosala kolinga ba maman mobokoli-YOU HAVE A PENCHANT...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
je hii inasababishwa na nini,au hawataki africa market (music) into american market (music)
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Ni baada ya kuicheki video ya BILIMA ya nuhu mziwanda. Yaani jamaa (Hanscana) kaiga idea ya director wa video ya wizkid - show you d money. Kuanzia ile halaiki ya watu iliyowazunguka akina nuhu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamvi...leo nakuja na mada hii mezani.Ni ruksa kuchangia,kukosoa,kupunguza ama kuongezea........binafsi mi ni mfuatiliaji mzuri wa nyimbo za kitanzania na bila kupindisha ukweli nyingi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unaweza kuzipata kwenye playstore kwa simu za Android.
0 Reactions
3 Replies
21K Views
Hivi mtangazaji gani hasa ndo ana act kama mwewe kwenye habari za cloud tv? najua wapo tofauti tofauti but kuna mmoja ndo anakuwa often na ndo anaipatia sana hii segment ya mwewe wengine huwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ngoma mpya ya KCEE aliomshirikisha Diamond Platnumz imeshatoka, anaeweza tuunganishia link atuwekee hapa mtaa wa saba waione nao. ========
2 Reactions
212 Replies
26K Views
Leo imetulia hakuna wadada wa kukaa uchi nimependa aisee.......napenda siku zote hiwe hivyo
0 Reactions
2 Replies
922 Views
Habar wakuu,Naomba msaada wa hiyo nyimbo ya Masikini Jeuri iliimbwa miaka ya tisin mwishoni. Nawasilisha Mada.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Mara nying huwa sipend sana kuzungumzia wanamuziki. lakini kuna mtu ninapozungumzia muzik wa Bongo hasa Hip Pop ( mtanisahihisha kama nmekosea kwenye kuandika) siwezi msahau huyu jamaa Fid Q. huyu...
8 Reactions
102 Replies
17K Views
Amini usiamini huyu kijana hakuna wa kumfananisha naye kwa sasa Afrika Mashariki na kati katika suala zima la muziki.Kafanya mambo makubwa ambayo hakuna msanii ambaye ameweza...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
In loving memory of Michael Jackson
1 Reactions
0 Replies
807 Views
Google wakishirikiana na You tube wameruhusu wabunifu(creators) kupata mkwanja kupitia video content wanazoweka you tube kupitia matangazo(advertisiment), Paid subscriptions na merchandise. Hii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii huyo wa bongo fleva na mshindi wa KTMA 2014/15 Ali Kiba amesema hayo alipo ongea katika kipindi cha Leo tena cha Clouds Fm yeye hana nguvu kuzizuia timu za watu kwenye mitandao ya kijamii...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
siku ya jana kiba alifanya jambo ambalo si la kawaida kwa wasanii wengi.aliamua kuzunguka kwenye madalala ili aweze kuongea na mashabik wake. alianzia mbagala mpaka posta, kisha posta mpaka gongo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Milard ayo unataka kuniambia huna habari zozote kuhusu MTV AWARD na hujui Diamond na Vanesa Mdee ni nominees kutoka Tanzania..... au ndio mambo ya bifuuuuuu mbona blog nyingine zinaendelea...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Meneja wa Diamond Platinumz amenena kuchukizwa na kitendo cha Kampuni ya Rockstar 4000 kujitambulisha iTunes kama wauzaji wa nyimbo za Diamond Platinumz. Meneja huyo amedai kuwa wao hawana mkataba...
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Back
Top Bottom