Ni miziki ya ala tupu..ni ya miaka mingi iliyopita...kasha lake limeandikwa sea of tranquility...nimejaribu you tube...uni lakini sijafanikiwa nimezunguka maduka ya muziki jijini dar..wala hawana...
Naomba nijue wadau,
Hivi huyu Salama Jabir je anajua kuimba? Au walitumia kigezo gani cha kuwa judge kwenye BSS? Hivi anamwanaume huyu, au ana mtoto?
Maana amenikata kwenye usahili wa BSS
Upi ni wimbo Bora zaidi wa Bongoflavour (mapenzi), leo nataka tutafute upi ni wimbo bora zaidi wa Bongo Flavour katika upande wa hizi nyimbo za mapenzi maana zipo nyingi kushinda nyimbo zenye...
Huu wimbo umepigwa vizuri sana na lyrics zake even better
"Ojuelegba"
Its legendury beats
Yea yea
wizzy baba o
Na wa oh
Dami loun Answer me
o wizzy
Ni ojuelegba in Ojuelegba
They know my...
Huyu dada alikua mtangazaji mzuri sana Clouds Fm kipindi cha Leo Tena.
Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana.
Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko
Guyz kati ya redio nazo zikubali hapa bongo basi EBONY FM ndo ya kwanza ipo Iringa hii radio inasikika nyanda za juu kusini kote na sasa imefika Dar es salaam a.k.a kumwaaaani (in eddo voice)...
Habari
Ninaomba mwenye wimbo wa kuitangaza Tanzania aniwekee hapa ili niweze kuu download. Haswa kuna ambao niliona kwenye video wanamuziki wa kike wamevaa nguo zenye bendera ya Tanzania.
Wimbo wa...
Naam waswahili husema ukubwa dawa basi ndo hivyo maneno yanatimia kwani msanii mkongwe wa muziki wa bongoflavour hapa nchini king kiba sasa ameamua kuja ni kitu kingne kizuri kwa mashabiki wake...
Waungwana katika wasanii wa kiharakati waliopata kuvutia hadhira kubwa kwa nyimbo zao za kimapinduzi, nyimbo zinazokemea maovu kwenye jamii,, sidhani kama kuna wasiowafahamu hawa vijana.... mfano...
Pengine kile kizazi cha dhahabu cha muziki wetu wa bongo kinaweza kisijuridie kamwe, enzi hizo maproducer walikuwa wachache ila wakali mno, ukija kwa wasanii kila mtu ana flavour yake, ukimkuta...
Imepita miaka 16 since Andre Young almaarufu Dr. Dre alirelease album yake ya Chronic.Sasa baada ya miaka kadhaa ya kusubiri bila matumain album yake ya mwisho aliyoipa jina la Detox, Instead...
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.