Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ni miziki ya ala tupu..ni ya miaka mingi iliyopita...kasha lake limeandikwa sea of tranquility...nimejaribu you tube...uni lakini sijafanikiwa nimezunguka maduka ya muziki jijini dar..wala hawana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba nijue wadau, Hivi huyu Salama Jabir je anajua kuimba? Au walitumia kigezo gani cha kuwa judge kwenye BSS? Hivi anamwanaume huyu, au ana mtoto? Maana amenikata kwenye usahili wa BSS
1 Reactions
40 Replies
7K Views
SYLI CLASSIC: Nuh Mziwanda - Hadithi (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
5K Views
SYLI CLASSIC: Christian Bella & Malaika Band - Amerudi (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
14K Views
Upi ni wimbo Bora zaidi wa Bongoflavour (mapenzi), leo nataka tutafute upi ni wimbo bora zaidi wa Bongo Flavour katika upande wa hizi nyimbo za mapenzi maana zipo nyingi kushinda nyimbo zenye...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Rais yupo live azam 2 na wasanii kwenye final ya mashindano ya Kinondoni Talent Search 2015!! Kipaji chako Ajira yako!
0 Reactions
15 Replies
2K Views
kwa maana katika album zake zote haipo na kwenye you tube wadau mbali mbali wanaponda na wengine kusifia? https://www.youtube.com/watch?v=GoFdw0owIO8
0 Reactions
3 Replies
2K Views
#Over
0 Reactions
0 Replies
866 Views
Huu wimbo umepigwa vizuri sana na lyrics zake even better "Ojuelegba" Its legendury beats Yea yea wizzy baba o Na wa oh Dami loun – Answer me o…wizzy Ni ojuelegba – in Ojuelegba They know my...
11 Reactions
68 Replies
13K Views
Huyu dada alikua mtangazaji mzuri sana Clouds Fm kipindi cha Leo Tena. Aliacha mda mrefu bila sababu za msingi sana. Namkubali sana huyu dada namtakia kila la heri huko
0 Reactions
28 Replies
10K Views
Guyz kati ya redio nazo zikubali hapa bongo basi EBONY FM ndo ya kwanza ipo Iringa hii radio inasikika nyanda za juu kusini kote na sasa imefika Dar es salaam a.k.a kumwaaaani (in eddo voice)...
1 Reactions
59 Replies
20K Views
Habari Ninaomba mwenye wimbo wa kuitangaza Tanzania aniwekee hapa ili niweze kuu download. Haswa kuna ambao niliona kwenye video wanamuziki wa kike wamevaa nguo zenye bendera ya Tanzania. Wimbo wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naam waswahili husema ukubwa dawa basi ndo hivyo maneno yanatimia kwani msanii mkongwe wa muziki wa bongoflavour hapa nchini king kiba sasa ameamua kuja ni kitu kingne kizuri kwa mashabiki wake...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Waungwana katika wasanii wa kiharakati waliopata kuvutia hadhira kubwa kwa nyimbo zao za kimapinduzi, nyimbo zinazokemea maovu kwenye jamii,, sidhani kama kuna wasiowafahamu hawa vijana.... mfano...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Pengine kile kizazi cha dhahabu cha muziki wetu wa bongo kinaweza kisijuridie kamwe, enzi hizo maproducer walikuwa wachache ila wakali mno, ukija kwa wasanii kila mtu ana flavour yake, ukimkuta...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Kwa wapenzi wa ile tamthilia ya Empire, trailer yake ishatoka toka last week ichek hapa https://youtu.be/h9bSk7ZedEU
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Imepita miaka 16 since Andre Young almaarufu Dr. Dre alirelease album yake ya Chronic.Sasa baada ya miaka kadhaa ya kusubiri bila matumain album yake ya mwisho aliyoipa jina la Detox, Instead...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Fid Q na Joh Makini Ni miongoni mwa wasanii bora kupata kutokea bongo kwenye Hip hop, kila mmoja anangoma kali nyingi. Ila binafsi ukiniambia nichague wimbo mmoja tu wa Fid Q ambao niliwahi...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom