Deleted_account
JF-Expert Member
- Nov 1, 2008
- 3,385
- 3,702
Katika pita zangu nimeona hili.
Msanii namba moja na anayeonekana tishio africa kama mashabiki wake wanavyosema: huu ni wimbo wake uliovuma kuliko zote na akimshirikisha msanii bora Davido una viewers milion 10 youtube(http://www.youtube.com/watch?v=Cd2bwLcgGGg&list=RDIflpfcHmq5I&index=4) nimecompare na wimbo wa msanii mmoja tu nilikuwa nasikiliza leo asubuhi anaitwa Katy Pery wimbo wake wa Dark horse una viewers BILLION moja na zaidi(http://www.youtube.com/watch?v=0KSOMA3QBU0&list=RDCevxZvSJLk8&index=2). NA ZOTE ZIMETOKA MWANZONI MWA MWAKA JANA
Mashabiki wa Diamond hawatumii internet au jamaa watu hawamuangalii huko nje? umaarufu alionao kimataifa ni upi?
Mtakaokuja kutapika hapa mjue haina uhusiano wowote na Alikiba na pia mjue umuhimu wa YOUTUBE katika burudani na biashara ya music wa kizazi hiki.
nimeattch picha
Msanii namba moja na anayeonekana tishio africa kama mashabiki wake wanavyosema: huu ni wimbo wake uliovuma kuliko zote na akimshirikisha msanii bora Davido una viewers milion 10 youtube(http://www.youtube.com/watch?v=Cd2bwLcgGGg&list=RDIflpfcHmq5I&index=4) nimecompare na wimbo wa msanii mmoja tu nilikuwa nasikiliza leo asubuhi anaitwa Katy Pery wimbo wake wa Dark horse una viewers BILLION moja na zaidi(http://www.youtube.com/watch?v=0KSOMA3QBU0&list=RDCevxZvSJLk8&index=2). NA ZOTE ZIMETOKA MWANZONI MWA MWAKA JANA
Mashabiki wa Diamond hawatumii internet au jamaa watu hawamuangalii huko nje? umaarufu alionao kimataifa ni upi?
Mtakaokuja kutapika hapa mjue haina uhusiano wowote na Alikiba na pia mjue umuhimu wa YOUTUBE katika burudani na biashara ya music wa kizazi hiki.
nimeattch picha