Husika na kicha cha habar hapo juu, naomba kwa mtu yoyote mwenye nyimbo za chadema ani inbox nimpe no, zang anitumie nikipata hata huo alioimba Henri Kileo wa M4c one ntashukur pia.
Mteja wa bia ya Tusker Bi. Miriam Singo akiifurahia zawadi yake ya fulana aliyopewa kwenye hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini Dar es salaam. Bi Singo alijumuika na...
Kama wewe kweli ni mpenzi wa series na muvi kali zilizotoka kuanzia mwaka jana na mwaka huu utakuwa umefanya kosa kubwa sana la kiburudani kama hujaitafuta, ukaketi ukatulia na kuitupia jicho hii...
Ni wimbo mtamu ulioimbwa katika mahadhi ya wimbo wa utamaduni.Mwimbaji
ni mwanamke na anachanganya kiswahili na kipare.Maneno ya kiswahili niliyoyakamata ni:
..........majirani mwagombaaana. Ya...
Msanii Wizkid amethibitisha kuja Tanzania kama alivyoahidi ikiwa n moja kati ya nchi atakazotembelea around the Africa. Get ready for good music kuanzia Holla to you're boy, tease me, dance for...
IELEWEKE, mimi ni mpenzi na shabiki wa muziki wa Hip Hop. Ndio muziki pekee nikiwa nasikiliza kama nikishindwa kufanya chochote kile lazima nitikise kichwa.
Ukweli ni kwamba hivi sasa muziki wa...
Kuna wimbo wa zilipendwa unamaneno yafuatayo;Aibu imenipata,Najiuliza kila mara nikiwaza moyoni ni penzi gani analokupa huyo, ni dawa gani aliyokunywesha,ukachanganyikiwa na kuisahau sura yangu...
Tupia mashairi yoyote, yanayokutonesha kumoyo yani ukiyasikia moyo, unaburudika...Mf. mimi mashairi yangu:ni nani aliyegundua pesa ni yeye aliyeleta uovu duniani sasa twaishi kutoaminiana ...
* Cube: I was writting Dre rhymes since he was wreckin with the crew. I met him through his cousin.
* Cube: I never signed no papers with N.W.A.
* F. Gary: Cube's son worked the hardest to get...
LUPITA NYOG'O KATIKA UBORA WAKE. (BILA MAKAROLAITI) SHE LOOKS STUNNED
REd carpet glamour is sort of Lupita Nyong'o's thing. That dress is too die for! What a beautiful young woman!
Baada ya kingkiba kuingia katika nomination za Afrimma Awards, leo hii tena Kingkiba kaingia katika tuzo nyingine kubwa za (AEA)
Hongera Alikiba!
Note: Ikumbukwe pia haya ni mafanikio...
Good Looking Sugar Mummy's And Daddy's Connection is on.Our major objective is to hook you up with a sexy and wealthy lady/man in your location. Those who are looking for hook-up with either a...
Mkazi wa Mwembeyanga Bi. Sikudhani Idd (katikati) akipokea zawadi yake ya bia za bure, mfuko pamoja na Tisheti alivyopewa wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma ya Mwembeyanga Tandika mara...
Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu
1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...
Wale wapenzi wa series this time lets talk kuhusu hii series ya empire na zile nyimbo zinazopatikana kwenye ile series.. Uwanja ni wetu...
Team.. #cookie ,, #hakeeem #jamal lets gooooooooo
Hivi wasanii wetu wanawazaga nini mbona hata ukitafakari hupati jibu la maana ya wanachoimba? Au ndo vina... Yaani katika akili ya kawaida mtu huwezi fikiria kabisa hayo maneno au ndio ukishapiga...
Ni tarehe 23 mwez huu 2015
Uzinduz wa kampen pale jangwani
Kijana nasibu pamoja na wasani kibao watakuwepo
Huku upande wa pili
Prof j,wagos wa kaya,sugu,nature ,msaga sumu na bongo movie wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.