Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Husika na kicha cha habar hapo juu, naomba kwa mtu yoyote mwenye nyimbo za chadema ani inbox nimpe no, zang anitumie nikipata hata huo alioimba Henri Kileo wa M4c one ntashukur pia.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni mnielekeze ni program ipi nitaitumia tofauti na adobe photo shop kudizaini photo graphic,mfano kava za nyimbo na mengineyo ?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mteja wa bia ya Tusker Bi. Miriam Singo akiifurahia zawadi yake ya fulana aliyopewa kwenye hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini Dar es salaam. Bi Singo alijumuika na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama wewe kweli ni mpenzi wa series na muvi kali zilizotoka kuanzia mwaka jana na mwaka huu utakuwa umefanya kosa kubwa sana la kiburudani kama hujaitafuta, ukaketi ukatulia na kuitupia jicho hii...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni wimbo mtamu ulioimbwa katika mahadhi ya wimbo wa utamaduni.Mwimbaji ni mwanamke na anachanganya kiswahili na kipare.Maneno ya kiswahili niliyoyakamata ni: ..........majirani mwagombaaana. Ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msanii Wizkid amethibitisha kuja Tanzania kama alivyoahidi ikiwa n moja kati ya nchi atakazotembelea around the Africa. Get ready for good music kuanzia Holla to you're boy, tease me, dance for...
1 Reactions
55 Replies
8K Views
IELEWEKE, mimi ni mpenzi na shabiki wa muziki wa Hip Hop. Ndio muziki pekee nikiwa nasikiliza kama nikishindwa kufanya chochote kile lazima nitikise kichwa. Ukweli ni kwamba hivi sasa muziki wa...
3 Reactions
30 Replies
6K Views
Kuna wimbo wa zilipendwa unamaneno yafuatayo;Aibu imenipata,Najiuliza kila mara nikiwaza moyoni ni penzi gani analokupa huyo, ni dawa gani aliyokunywesha,ukachanganyikiwa na kuisahau sura yangu...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Tupia mashairi yoyote, yanayokutonesha kumoyo yani ukiyasikia moyo, unaburudika...Mf. mimi mashairi yangu:ni nani aliyegundua pesa ni yeye aliyeleta uovu duniani sasa twaishi kutoaminiana ...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
* Cube: I was writting Dre rhymes since he was wreckin with the crew. I met him through his cousin. * Cube: I never signed no papers with N.W.A. * F. Gary: Cube's son worked the hardest to get...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
LUPITA NYOG'O KATIKA UBORA WAKE. (BILA MAKAROLAITI) SHE LOOKS STUNNED REd carpet glamour is sort of Lupita Nyong'o's thing. That dress is too die for! What a beautiful young woman!
3 Reactions
8 Replies
3K Views
SYLI CLASSIC: Ben Pol & Thabby lee - Moja Moja (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Baada ya kingkiba kuingia katika nomination za Afrimma Awards, leo hii tena Kingkiba kaingia katika tuzo nyingine kubwa za (AEA) Hongera Alikiba! Note: Ikumbukwe pia haya ni mafanikio...
0 Reactions
119 Replies
14K Views
Good Looking Sugar Mummy's And Daddy's Connection is on.Our major objective is to hook you up with a sexy and wealthy lady/man in your location. Those who are looking for hook-up with either a...
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Mkazi wa Mwembeyanga Bi. Sikudhani Idd (katikati) akipokea zawadi yake ya bia za bure, mfuko pamoja na Tisheti alivyopewa wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma ya Mwembeyanga Tandika mara...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu 1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
nimeusaka sana huu wimbo baomba msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa series this time lets talk kuhusu hii series ya empire na zile nyimbo zinazopatikana kwenye ile series.. Uwanja ni wetu... Team.. #cookie ,, #hakeeem #jamal lets gooooooooo
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Hivi wasanii wetu wanawazaga nini mbona hata ukitafakari hupati jibu la maana ya wanachoimba? Au ndo vina... Yaani katika akili ya kawaida mtu huwezi fikiria kabisa hayo maneno au ndio ukishapiga...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni tarehe 23 mwez huu 2015 Uzinduz wa kampen pale jangwani Kijana nasibu pamoja na wasani kibao watakuwepo Huku upande wa pili Prof j,wagos wa kaya,sugu,nature ,msaga sumu na bongo movie wachache...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom