NMB Kiteto leo ilikuwa kali

NMB Kiteto leo ilikuwa kali

JAMHURI

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
449
Reaction score
60
Leo ilikuwa kali ya mwaka kwa wale waliofika Benki ya NMB Kiteto asubuhi..kwani baada ya kuingia tu walikutana na keki mlangoni, kisha kuombwa kuikata kwaajili ya kusherehekea miaka 10 toka kubinafsishwa

jee wajua yaliyojiri....fuana nami kwa picha na leo watakuwa wapi katika sherehe hizo..

20151005_080815.jpg 20151005_083559.jpg 20151005_080706(0).jpg 20151005_084659.jpg
 
Kwahiyo hadi wateja walikula?
 
hata CRDB Mlimani city jana tulikula pipi, biskuti, soda na juisi, na nikapata ua juu...hizi hela zetu hizi
 
Na sisi tunaomaliza kila kitu kwenye internet banking watutumie salio la soda na pipi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom