Mkasi ya Leo si ya kukosa!

Ubavu

JF-Expert Member
Jun 19, 2012
2,791
3,236
Jamaa anaye hojiwa Leo ni martin chigere
 

Attachments

  • 1443443986599.jpg
    1443443986599.jpg
    46 KB · Views: 1,557
Da anatisha haki ya nani..mtu sifa zake mpe..mimi GPA ya hivo sikupata pamoja na juhudi zote..
 
Mbona mimi nilipata Div 1.9mbeyaday 0level Alevel Div 1.3 mbeyaday Chuo Div 4.8 udsm na account yangu inasoma 3.856B ila siitwi na salama_jabiri

salama please niite nami number yangu ni 0755191348 niite nije kuandika kwenye kaubao kale.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu. Si wanasemaga Record ya Lipumba kwenye field hiyo ya Economics haijavunjwa mpk leo.. kwani alikua na G.P.A ya ngapi Bwana lipumba aiseee.??
 
ha ha ha naona mabadiliko kila sehem tanzania yameanza hadi salama kuanza kuwahoji majembe darasani..

huyo mkali kwanza ni noma darasani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom