Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tumesikia na kuona kupitia vyombo vya habari kile alichofanya msanii Shilole a.k.a Shishi baby kwenye onyesha alilofanya nchini Ubelgiji. Baada ya taarifa na picha za tukio Hilo kusambaa BASATA...
1 Reactions
33 Replies
4K Views
Pongezi ziende kwa kingKiba kwa kuendelea kutoboa kimataifa "kavu kavu" bila collabo. Wimbo huo umeingia kwenye Top ten Raido kubwa zaidi nchini Nigeria "The Beat 99.9 Source: Bongo5,
1 Reactions
75 Replies
13K Views
Naomben jamani mwenyewe story anitumie napenda sana kusoma story
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Kituo cha kimataifa MTV base kesho kitazindua video mpya ya moja Kati ya wasanii mashachari jux ft Joh Makini jina la nimbo ni looking for you. Ni vizuri mziki wetu kufika international level
2 Reactions
9 Replies
2K Views
SYLI CLASSIC: Stereo Ft. Fid Q - Nasema Nachojua (Download New Audio)
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu 1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I used to drink them in S.A but I came here in Dar es Salaam I dont find them
0 Reactions
3 Replies
1K Views
SYLI CLASSIC: Q Chief - Power of Love (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa yoyote mwenye kipaji cha uigizaji wanahitajika mabinti kadhaa kwa project iliyoandaliwa na Tanzania Media Company. Ni wakati wako kuonesha kipaji chako. Sharti uwe hujawahi kuigiza hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman mwenye nyimbo mpya ya huyu jamaa ndani take anaimba ukiniacha nitadanja aiweke hapa nimeisikia sehemu moja hv yaan n bonge la cndano
0 Reactions
4 Replies
6K Views
SYLI CLASSIC: Cliff Mitindo Ft.Mo Music - Natamani (Download New Audio)
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Nimeangalia mambo yanayoendelea katika siasa nikakakumbuka kale kasongi ka mv mapenzi.... Nahodha kajitupa baharini..... maswali: - 1. Je, meli ilizama? kama haikuzama mchango wa nahodha...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kuna jambo nimelifikiria sana nikaona nililete hapa JF kupata msaada zaidi, ni hivi, kwanini wasanii wa bongo movie hawana uwezo wa kucheza movie kali za action kama kina RAMBO,JET LI,JACK...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Hivi ni mimi tu ninayevutiwa na tuvesi twa Nyandu Tozi? Jamaa naonaga kama hayuko siriaz na mziki, anafanya just for fun, but tuvesi twake huwa tunanibamba kweli.Nyimbo alizofanya na Blue, ile...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Talks Black Rose inspired by Tupac's poem. Talks radio support and racial favoritism. Talks a whole lotta stuffs.
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Msanii Shilole amefungiwa mwaka mmoja kutojishughulisha na sanaa! Hivi karibuni Shilole aliingia kwenye mgogoro na BASATA baada ya kuvaa mavazi yaliyoacha maungo yake yote nje hasa maziwa akiwa...
0 Reactions
258 Replies
35K Views
Tanzania Superstar Diamond Platnumz has been Named the Highest Royalty Earner by Music Copyright Society of Kenya popularly known as MSCK. Here is part of the Press Statement from MCSK. The MCSK...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Diamond platnum,ndani ya aljazeera,
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Mchango wako kwa hii beef? Nani mkali? Na nani atakua ana commit career suicide? For my side Drake is winning. 🙌🏽
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ngani ah, ni jinsi gani tutawini maishani mpaka siku tunasema buriani, ah x3 Ilikuwa Jumapili nkamuona Raphaeli, amekaa juu ya nini, ni juu ya baiskeli, namuuliza anaenda wapi kaniambia...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Back
Top Bottom