Tumesikia na kuona kupitia vyombo vya habari kile alichofanya msanii Shilole a.k.a Shishi baby kwenye onyesha alilofanya nchini Ubelgiji. Baada ya taarifa na picha za tukio Hilo kusambaa BASATA...
Pongezi ziende kwa kingKiba kwa kuendelea kutoboa kimataifa "kavu kavu" bila collabo.
Wimbo huo umeingia kwenye Top ten Raido kubwa zaidi nchini Nigeria "The Beat 99.9
Source: Bongo5,
Kituo cha kimataifa MTV base kesho kitazindua video mpya ya moja Kati ya wasanii mashachari jux ft Joh Makini jina la nimbo ni looking for you.
Ni vizuri mziki wetu kufika international level
Kwa wale wapenzi wa vibonzo hebu tujaribu kuwatathmini hawa jamaa katika hii tathnia. Pia ongeza na wengine unaowafahamu 1. Abdul Kingo. Huyu jamaa ana katuni zake kama vile songombingo za...
Kwa yoyote mwenye kipaji cha uigizaji wanahitajika mabinti kadhaa kwa project iliyoandaliwa na Tanzania Media Company. Ni wakati wako kuonesha kipaji chako.
Sharti uwe hujawahi kuigiza hata...
Nimeangalia mambo yanayoendelea katika siasa nikakakumbuka kale kasongi ka mv mapenzi....
Nahodha kajitupa baharini.....
maswali: -
1. Je, meli ilizama? kama haikuzama mchango wa nahodha...
Kuna jambo nimelifikiria sana nikaona nililete hapa JF kupata msaada zaidi, ni hivi, kwanini wasanii wa bongo movie hawana uwezo wa kucheza movie kali za action kama kina RAMBO,JET LI,JACK...
Hivi ni mimi tu ninayevutiwa na tuvesi twa Nyandu Tozi? Jamaa naonaga kama hayuko siriaz na mziki, anafanya just for fun, but tuvesi twake huwa tunanibamba kweli.Nyimbo alizofanya na Blue, ile...
Msanii Shilole amefungiwa mwaka mmoja kutojishughulisha na sanaa!
Hivi karibuni Shilole aliingia kwenye mgogoro na BASATA baada ya kuvaa mavazi yaliyoacha maungo yake yote nje hasa maziwa akiwa...
Tanzania Superstar Diamond Platnumz has been Named the Highest Royalty Earner by Music Copyright Society of Kenya popularly known as MSCK. Here is part of the Press Statement from MCSK.
The MCSK...
Ngani ah, ni jinsi gani tutawini
maishani
mpaka siku tunasema buriani, ah x3
Ilikuwa Jumapili nkamuona Raphaeli,
amekaa juu ya
nini, ni juu ya baiskeli,
namuuliza anaenda wapi kaniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.