Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
back in the days tulikuwa tunabishana sana na washkaji kuhusu nani ni mkali kati ya superman na hulk the incredible, mabishano yalikiwa mazito kiasi kwamba sometimes kulikuwa na ugomvi .... wanajamvi ni nani kati ya hawa unawakubali ,,,kwanini?