Kwa taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa wimbo mpya wa nguli wa Hipphop ROMA MKATOLIKI wa Vivaaaa roma umepigwa marufuku kuchezwa katika vyombo vyote vya habari nchini.
Wanabodi,
Kati ya vitu vinavyompa raha sana binadamu, kumburudisha, kumliwaza, kumfariji, ni pale anapopata ile kitu roho inapenda, hivyo kwa upande wangu baada ya maumivu ya uchaguzi mkuu...
Sandra Bullock will star in an all-female ?Ocean?s Eleven? reboot.
The 51-year-old actress is in talks to take on the leading role in the third incarnation of the movie, with Frank Sinatra...
Umeisikiliza nyimbo mpya ya Chid Benz "benzino" a.k.a Chuma!?
..msituletee habari hizo, msijifanye mnataka sana mabadiliko hata kumpa mwizi, ukiwa mwizi uraiani huwezi kuacha ikulu.
...sichagui...
Wapenzi wa sinema za kutafsiriwa kwa kiswahili tumepata pigo la kuondokewa na mtafsiri maarufu wa sinema anaeitwa DERICK MUKANDARA RUFUFU "rufufu" ambae inasemekana amefariki kwa presha siku mbili...
Video mpya ya mwanamuziki Belle 9 inayoitwa'shauri zao' imeanza kuonekana kimataifa kwa kuchezwa kwa mara ya kwanza kwenye kituo cha trace tv cha afrika kusini. Hii ni furaha sana kwa belle 9 na...
What's good JF massive?
So next weekend I'm throwing a backyard party at my crib right here in John's Creek.
There will be plenty of honeys, drinks, and chow.
And hey, if you have designs on...
Wakuu, Ni Wapi Naweza Download Hizi Nyimbo Za Old School??
1.Rise To The Top_ Lost Boys
2. Ya Leo Kali_ Wachuja Nafaka
3. Mambo Ya Feza_ Mr.11
Nimezitafuta Sanaa Mitandaoni, Sijafanikiwa...
Samahani sana wadau, mi naishi mbeya pande za mwanjelwa hapa. kuna mshkaji wangu hapa anajua sana kuflow yan kuimba muziki wa hiphop, kwa sasa anatafuta kundi lolote la muziki huo aweze kujiunga...
Kia wale wapenzi wa Muziki wa Congo sana sana wale washabiki wa Legrand Mopao, fungua hiyo link uenjoy track yake mpyaa. Mimi binafsi huyu bingwa namkubali sana.
Salaam kwenu wana JF,
Kuna huyu Rapper mtoto wa kike wa kujiita, Chemical, anayetamba na hit single ya Sielewi aliyomshirikisha Soprano kwenye chorus, OMG! Naomba kumpa salute!!! Mtoto ametambaa...
Jah Cure releases this highly-anticipated album produced by him and his team, he spent $70,000 US dollars to record and present it for release with VP Records. A prolific artist, the album tracks...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.