Wadau anaye jua wapi naweza download nyimbo za kaswida anisaidie link tafadhali.au kama anaweza kuniwekea hapa jamvini ntashukuru!.msaada wenu muhimu wadau
http://m.youtube.com/watch?v=K84xhDTBKmA
Genesis kundi maarufu duniani kutoka Uingereza.
Watu laki tano walihudhuria hiyo concert, wanamuziki wa bongo munaweza kupiga live mpaka mtu...
Habari zenu wana MMU
Naomba kwa anayefahamu wapi naweza kupata collection ya CD/DVD mp3,yenye zaidi ya nyimbo 200 za mapenzi(slow/RnB/Pop/Blues etc) na zisiwe za kibongo kabisaaa...
Nipo...
wakuu niwasumbue kidogo, ninautafuta wimbo wa zamani kidogo ''Moro yapendeza'' wa moro jazz band nimeshagoogle sana, lakini sijabahatika kuupatana..
Nitashukuru sana.
Sijui lakini kwa upande wangu naona kama hii video storyline yake haina pirpose vile, coz ukicheki unaona kama wazazi wanardi home wanakuta nyumba iko hovyo kutokana na nahisi ni watoto wao...
wadau nipo jiji la kampala ni siku ya tatu sasa nipo hapa,si utani hawa kina sebho na nyabho wanajua kula maisha,kwa nilichoshuhidia kwa muda huu bongo tunasubiri
Hivi karibuni kuna msanii wa kike wa bongo fleva, alifungiwa kufanya au kushiriki shughuli yoyote ya mziki kwa mwaka mmoja na Baraza la Muziki la Taifa, kwa kile kilochosemekana eti alidhalilisha...
Ametoa tangazo Hilo wakati akipokea tuzo mojawapo ya MTV.
Amesema atachukua uamuzi huo mwaka 2020.
Akiri kutumia bangi.
ZAIDI Gonga link ujisomee mwenyewe...
Kanye West to vie for President...
Mpenzi wa bia ya Tusker Njau Dismas (katikati) akitabasamu mara baada ya meza yake kufikiwa na zawadi ya mfuko wenye fulana na kalamu katika hafla ya kuipongeza baa ya Baracuda iliyopo Tabata...
Huku K WEST, Huku OMAR AL BASHIR!
K. WEST ameshinda tuzo inayokwenda kwa jina: TUZO YA KAZI ZENYE MAFANIKIO, nchini MAREKANI, katika tuzo hiyo, WEST amepewa nafasi ya kusalimia watu waliojaa...
* I feel Eazy E was not potrayed well in the Straight Outta Compton movie. I knew Eazy.
* My 10m budget 'King of the South' biopic movie will be str8 real. Queen Latifa, Charlamagne, Romeo will...
- Wakuu tunaendelea tena vipi hawa nao magwiji wa huko Zaire au Congo-Kinshasa, yaani Suveree Mukulu Jibe, Maison Mere Werason "Step-forward", na Kintonzengu Koffi Olomide vipi nao nani ni bingwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.