pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,645
- 14,804
Wakuu habari zenu:
Live band ni aina ya mziki ambao msanii anaimba live bila kutumia cd kama ilivyokuwa awali
Mziki wa live band umeendelea kuiteka Africa baada ya davido na wizkid na wao kufanya show live bila cd tena kubwa
Kwa bongo wasanii wanaopiga live music band wapo wengi kama Christian bella belle9 na wengine kibao
Wasanii wanatakiwa kubadilika kutokana na wakati kwani hata sautisol nao wanapiga live music kwani bila ya kufanya hivyo huwezi pata show matamasha makubwa ni hayo tu"
Live band ni aina ya mziki ambao msanii anaimba live bila kutumia cd kama ilivyokuwa awali
Mziki wa live band umeendelea kuiteka Africa baada ya davido na wizkid na wao kufanya show live bila cd tena kubwa
Kwa bongo wasanii wanaopiga live music band wapo wengi kama Christian bella belle9 na wengine kibao
Wasanii wanatakiwa kubadilika kutokana na wakati kwani hata sautisol nao wanapiga live music kwani bila ya kufanya hivyo huwezi pata show matamasha makubwa ni hayo tu"