Tumia kipaji chako

Tumia kipaji chako

george williams

New Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Mi naimani kwenye kuzaliwa kila mmoja kazaliwa na kipaji chake binafsi ninavyo kama vitatu.

Yani mpira, kuimba na kutunga stori.

Uzi wangu ni nahitaj watu wa kuanzisha crew la music iwe hiphop.

Ninaweza pia rnb .

Kama post imekukwaza sory 4 that japo Tanzania ni nchi huru.
 
Huwez kuwa na vipaji vitatu bhana,kipaji huwa ni kimoja tu mengine umedandia tu.
 
mi naimani kwenye kuzaliwa kila mmja kazaliwa na kipaji chake binafsi ninavyo kama vitatu.yani mpira,kuimba na kutunga stori uzi wangu ni nahitaj watu wa kuanzisha crew la music iwe hiphop naweza pia rnb kama post imekukwaza sory 4 that japo tz ni nchi huru

Kuna Kipaji cha kuigiza kuwa na Kipaji sasa we unakipaji gani?
 
Mi naimani kwenye kuzaliwa kila mmoja kazaliwa na kipaji chake binafsi ninavyo kama vitatu.

Yani mpira, kuimba na kutunga stori.

Uzi wangu ni nahitaj watu wa kuanzisha crew la music iwe hiphop.

Ninaweza pia rnb .

Kama post imekukwaza sory 4 that japo Tanzania ni nchi huru.

oya vipi kundi la hiphop ka vp tutafute wadau,
 
Back
Top Bottom