george williams
New Member
- Jul 28, 2015
- 2
- 0
Mi naimani kwenye kuzaliwa kila mmoja kazaliwa na kipaji chake binafsi ninavyo kama vitatu.
Yani mpira, kuimba na kutunga stori.
Uzi wangu ni nahitaj watu wa kuanzisha crew la music iwe hiphop.
Ninaweza pia rnb .
Kama post imekukwaza sory 4 that japo Tanzania ni nchi huru.
Yani mpira, kuimba na kutunga stori.
Uzi wangu ni nahitaj watu wa kuanzisha crew la music iwe hiphop.
Ninaweza pia rnb .
Kama post imekukwaza sory 4 that japo Tanzania ni nchi huru.