Katika gemu hii ya Hip Hop Kuna wakali wengi sana wametokea hadi Leo... Wafuatao Ni wakali 10 toka kwangu.
10. Solo Thang "Ulamaa"
09. One the Incredible
08.Jay Moo
07.Hashim Dogo
06.Afande...
Habar wana JF.
Najua JF kuna watu wenye ujuzi au vpaji mbalimbali.Nikiamua kujifunza drums but napata shida kwenye mazoezi.Nimejaribu kupakua drummless tracks kwenye mitandao nmeshindwa, kama...
Mwenye gitaa jipya au used lakni lipo kwenye hali nzuri tuwasiliane kwa namba 0653 257566. Liwe ni galatoni lenye umeme pia, napenda yale yenye muundo wa kisasa. Screenshot Whatsapp.
Zamani kidogo clouds Fm walikuwa na doctor beats ambayo kwa sasa inaitwa xxL. Alikuwa anasimama Bony luv kama DJ na ML Chris kama Mc ilikuwa muziki mwingi, salamu kidogo na story kidogo. Akaja...
Ni quotes gani kwenye series movies,songs kama za hip hop umezipenda,au mwigizaji /rapper, gani akiigiza kila anachoongea kwako ni quote kali.
Movies
-----------------------------------------...
India?s pioneer in Express Distribution and Supply Chain Solutions, Gati Limited offers a customers? conjunction platform with Gaticonnect takes online jewellery shopping india to the next level...
Kwa niaba ya wapiga gambe wote nawalaani live band wote kwenye jamhuri hii ya mashaka.
inakuaje wooote wa waimbaji wenu sauti zenu zinafanana 100% iwe Mtwara au Kigoma.
Mnatuibia
Mnadhani...
Habari,
Natafuta wimbo wenye maneno haya ndani yake
"Umaarufu utapita ila mapenzi yatabaki palepale cha msingi simamia..." .
Sifahamu jina la wimbo, ila sauti ya msanii ni ya TID, mwenye huu...
Achana na Yamoto Band, Twanga Pepeta nk. Habari ya mjini sasa ni MaSaMa Band. Imeanzishwa tarehe 5 November 2015. Wamiliki wa band hii ni watanzania wote. Wakati wa kuanzishwa kwake, karibia...
1.How am I suppose to live without you Michael Bolton
2.Nothing compares to you - Sineod Oconor
3.Sometimes love just aint enough Patty Smith
4.If you were with me now Kylie Minogue...
Baada ya ukimya wa muda mrefu, hatimaye leo Mfalme wa Bongo Flavor " Alikiba" ataenda kuachia wimbo wa Taifa aliyoimba na Christian Bella,
Baada ya Bella kuona anataka kuzidiwa ikabidi aimbe na...
Wakuu wa entertainment!
Moussa Diallo simfahamu, lakini kuna wimbo mmoja maarufu sana bahati mbaya nimesahau jina lake. Ni maarufu kwelikweli ila wa zamani pia! Nasikia aliyeimba wimbo huo ni...
Mwanamuziki Adele hivi karibuni ameachia kibao chake kinachoitwa hello, ni ngoma ambayo imepata waangaliaji wengi youtube kwa kipindi kifupi, kusema ukweli ni kibao kizuri kakiimba vizuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.