Jamaa mmoja huko nchini Zimbabwe kwa babu Mugabe kashinda kwenye shindano
la kumsaka mkali mwenye sura ngumu (sura ya kiume) , na hatimaye kujishindia
kiasi cha Dollar 500 US,
Jamaa huyo...
Bwana Yesu Asifiwe!
Ile dhana kwamba usanii ni kuelimisha jamii, sasa kwa baadhi ya wasanii wetu wa muziki wa bongo fleva umepotoka na hatimaye kuiharibu jamii.
Hili linatokea pale wanapotoa...
Habari zenu? Jamani yeyote alie mpenzi wa tamthiliya hii inayooneshwa ITV na CITIZEN tupeane habari zaidi ningependa kujua anaefahamu marudio yake kwenye citizen tv maana wao huionesha saa8 mda wa...
Wanajukwaa najua kuna baadhi yetu tunapenda muziki na huenda katika nyimbo unayoipenda kuna baadhi ya maneno huwa huyapati vizuri so tutakuwa tukipeana lyrcis za nyimbo hapa.
Hili ni kama...
Baada ya kazi hii kutambulishwa rasmi jana kupitia kituo cha Mtv base, leo Joh makini amekiachia upande wa youtube
Wimbo : Dont bother
Producer : Nahreal
Director : Justin Campus
Location : South...
Msanii aliyesainiwa chini ya WCB, Harmonize leo ameachia rasmi video ya wimbo wake Aiyola..
Video hii wameshoot South Africa na imeongozwa na Nick Roux (moja ya video alizotengeneza ni Love...
habari wakuu natafuta huu wimbo wa zouk wenye maneno haya
Wimbo wa kwanza 1
KATA LAYI SOKI O BINAKI
TE Tete eeeeeeeeh, TITA ANHAAAAA TITANIKEEEEE OYA TITA YAYA ANHAAA TITANIKEEE...
Nimekuwa nafuatilia mziki kwa muda mrefu. hivi sasa namuona huyu msanii nikk mbish au baba malcom, analeta bifu zisizo na msingi.alianza kumponda nakki wa pili ktk wimbo wa punchi kwenye line...
Drop any fact that's in the entertainment industry that the mass probably wasn't aware of.
* Chaka Zulu has been Ludacris' right hand man and manager for over 10 years now. The most interesting...
Habarini wakuu.....
Nahitaji mwalimu wa kunifundisha music wa noten, mimi napatikana mwanza....
Kwa alietayari ani pm, malipo yatakuwepo!
Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
Asanteni
the walkers sio hasa jina lake, the walking dead inatisha. nimeshaona season 1-3 ya mwaka 2013
kwa wale wenzangu wa haya mazombi naomba kujua season zimazoendelea mji ulivamiwa, governor...
Habari wanajamvi,kuna mambo kadhaa naona hayako sawa na ndio mana sanaa yetu inaonekana iko nyuma kila siku.
Inadaiwa kuwa ili kuwa wakimataifa lazima kazi zako zionekane kwenye vituo vya...
Get your VIP GOLD CARD Delivered to you personally by our Beauty Queen Nelly_kamwelu the Miss Universe Tanzania 2015. For more information about tickets please contact (+255 768 129 974) ASAP...
Fikra za kuwatafuta wazazi wake ziliyeyuka kabisa na kujikuta akipenda kitendo ambacho anakifanya na bi zuwena. Miezi miwili tangu waanze kufanya tendo hilo na wamekua mithli ya mke na mume. Mzee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.