Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau, Hii choice fm leo nimeisikiliza, mwanzo mwisho ni kiswahili. Imenishangaza sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Miezi mitatu sasa tangu Hashir aanze kazi kwa mzee ochu, mshahara wa hapo ulimfurahisha sana Hashir mpaka alijikuta akifungua genge kwa bibi yake huko magomeni. Maisha kwao yalianza kua mazuri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau wa jamvi hili, hususani wapenzi wa rnb, Leo tena nawaletea mbili kali za kukuliwaza: Ya kwanza ni Have a little mercy kutoka kundi linaloitwa 4.0 Na track ya pili kwa siku ya leo ni All...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
samahani wadau kama kuna mwenye huu wimbo auweke kwani nimeutafuta sana nimeukosa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
,''Kweli dokta umepima vizuri??'' aliuliza karima kwa mshangao, ''Ndio dada vipimo vyetu hua havisemi uongo kabisa!!'' Alimhakikishia nesi. Ilikua ni vigumu kwa karima kuamini kwa kile...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wimbo wa '''BAO''' wa WAGOSI WA KAYA Umejaa 'Ubunifu' sana mle ndani... Lakini ukiusikiliza Juu Juu unaweza sema jamaa wameimba Matusi... Mstari upi unaoupenda mle ndani???
0 Reactions
10 Replies
4K Views
samahani wadau kama Luna mwenye huu wimbo auweke kwani nimeutafuta sana nimeukosa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
STAA wa filamu za Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ yamemkuta baada ya ile ishu yake ya kutengeneza filamu inayoitwa Sister Marry ambapo mapadri wamemtaka asiipeleke sokoni milele. Ishu hiyo ilitokea...
0 Reactions
433 Replies
42K Views
Yeyote anayejua historia yote kuhusu huyu mwanamuziki mashuhuri wa enzi izo katika democrasia ya congo anaitwa MAYAULA MAYON anijulishe nipate kujua,maana ninamkubali sana.pia anitajie na majina...
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Ndugu wana jamvi kuanzia leo nitakuwa nawapa rnb kali za kumalizia siku yako. Kwa leo tunaanza na Tank na kibao chake better than me, angalia usije dondosha chozi kwani ni track yenye hisia sana...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Ni Nyimbo ya nikk wa pili ft joh makin ila kiitikio ipo saut ya msanii wa bongo fleva kachngny kngerza n kiswahil manen nayo kumbka n (ME AND YOU)...tafadhal mwny kuifahamu naomb aniwke link au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
walikuwa wazee wa silent inn kila jumamos. kwa wakubwa wenzangu wa kitambo hicho yupo yule rapa wao Allan mulumba??!!
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Swahili Fashion Week is back this year with various designers and fashion gurus ready to showcase their pieces.The event will be held at Sea Cliff Hotel ,Dar es Salaam. It is a great opportunity...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau watasnia ya sanaa hususani burudani ya mziki nadhani sasa ndiyo mda muafaka wa kupata burudani kutoka kwa wasanii wetu. Nahisi wiki hii au ijayo wasanii wetu wataanza kuporomosha nyimbo zao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chidy aliamini baba yake anaemlea ni babayake mzazi, pia mama yake kadhalika, japo mzee muro alikua na wake watatu, aliweza kuwamudu wote na kuwakidhi mahitaji yao. Hakutaka kuifichua siri nzito...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hakuchoka kumuomba mungu msamaha na amjaalie aweze kupata mtoto, japo kwake ilikua ni ndoto ya alinacha. Ochu furaha yake aliokua nayo ilianza kufifia, hata wafanyabiashara wenzake hawakuelewa...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Ochu akiwa na mkewe zuwena wameketi kwenye sofa kubwa baada ya kupata chakula cha mchana, mfanyakazi SADA alikusanya vyombo vilivyokua mezani na kwenda kuviosha, aliwaacha Ochu na zuwena...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Adele ni moja kati ya wanamuziki wanaonibamba sana nikisikia nyimbo zake huwa zinavuta hisia.. ukianza na Someone like you, Rollin in the deep, Skyfall etc Alikuwa kimya kitambo lakini sasa hivi...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
''Enhee,kuna nini tena hapa?'' Aliuliza mkuu akiwa na mikunjo kwenye paji lake la uso ikidhihirisha hamu alokua nayo mwalimu huyo kujua nini kinaendelea. Hakupenda hata kidgo wanafunzi wake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom