Miezi mitatu sasa tangu Hashir aanze kazi kwa mzee ochu, mshahara wa hapo ulimfurahisha sana Hashir mpaka alijikuta akifungua genge kwa bibi yake huko magomeni. Maisha kwao yalianza kua mazuri...
Wadau wa jamvi hili, hususani wapenzi wa rnb, Leo tena nawaletea mbili kali za kukuliwaza: Ya kwanza ni Have a little mercy kutoka kundi linaloitwa 4.0
Na track ya pili kwa siku ya leo ni All...
Wimbo wa '''BAO''' wa WAGOSI WA KAYA
Umejaa 'Ubunifu' sana mle ndani... Lakini ukiusikiliza Juu Juu unaweza sema jamaa wameimba Matusi...
Mstari upi unaoupenda mle ndani???
STAA wa filamu za Bongo, Vincent Kigosi Ray yamemkuta baada ya ile ishu yake ya kutengeneza filamu inayoitwa Sister Marry ambapo mapadri wamemtaka asiipeleke sokoni milele.
Ishu hiyo ilitokea...
Yeyote anayejua historia yote kuhusu huyu mwanamuziki mashuhuri wa enzi izo katika democrasia ya congo anaitwa MAYAULA MAYON anijulishe nipate kujua,maana ninamkubali sana.pia anitajie na majina...
Ndugu wana jamvi kuanzia leo nitakuwa nawapa rnb kali za kumalizia siku yako. Kwa leo tunaanza na Tank na kibao chake better than me, angalia usije dondosha chozi kwani ni track yenye hisia sana...
Ni Nyimbo ya nikk wa pili ft joh makin ila kiitikio ipo saut ya msanii wa bongo fleva kachngny kngerza n kiswahil manen nayo kumbka n (ME AND YOU)...tafadhal mwny kuifahamu naomb aniwke link au...
Swahili Fashion Week is back this year with various designers and fashion gurus ready to showcase their pieces.The event will be held at Sea Cliff Hotel ,Dar es Salaam. It is a great opportunity...
Wadau watasnia ya sanaa hususani burudani ya mziki nadhani sasa ndiyo mda muafaka wa kupata burudani kutoka kwa wasanii wetu.
Nahisi wiki hii au ijayo wasanii wetu wataanza kuporomosha nyimbo zao...
Chidy aliamini baba yake anaemlea ni babayake mzazi, pia mama yake kadhalika, japo mzee muro alikua na wake watatu, aliweza kuwamudu wote na kuwakidhi mahitaji yao. Hakutaka kuifichua siri nzito...
Hakuchoka kumuomba mungu msamaha na amjaalie aweze kupata mtoto, japo kwake ilikua ni ndoto ya alinacha. Ochu furaha yake aliokua nayo ilianza kufifia, hata wafanyabiashara wenzake hawakuelewa...
Ochu akiwa na mkewe zuwena wameketi kwenye sofa kubwa baada ya kupata chakula cha mchana, mfanyakazi SADA alikusanya vyombo vilivyokua mezani na kwenda kuviosha, aliwaacha Ochu na zuwena...
Adele ni moja kati ya wanamuziki wanaonibamba sana nikisikia nyimbo zake huwa zinavuta hisia..
ukianza na Someone like you, Rollin in the deep, Skyfall etc
Alikuwa kimya kitambo lakini sasa hivi...
''Enhee,kuna nini tena hapa?'' Aliuliza mkuu akiwa na mikunjo kwenye paji lake la uso ikidhihirisha hamu alokua nayo mwalimu huyo kujua nini kinaendelea. Hakupenda hata kidgo wanafunzi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.