Kwa nini watu hawa maarufu waigizaji wa movie/wanamichezo tunawaita nyota na sio kitu kingine.
Yawezekana haya mambo walikubaliana miaka ya zamani wakiwa hawana uelewa wa kutosha? au ni mtu mmoja...
Heshima kwenu wakuu
Nimeangalia hii filamu ya manyani na imenivutia sana..nabaki najiuliza inakuwaje hawa manyani wanaact hivi!? au mimi ndo sielewi!?
kwa yeyote anayejua junsi hizi movie...
Rejea kichwa husika hapo juu... wadau mm ni msanii mchanga na nilikuwa naombeni mnisaidie contacts za Gabo wa bongo movie,iwe ni namba za simu au email... nitashukuru sana kwa msaada wenu...pia...
Leo nimeona kitu cha tofauti sana pale leaders club... Ni kama vile tunaweza hivi DJ mmoja mkali sana aisee wanamuita mafuvu, halafu wasanii wetu kama kuna improvement flani hivi kwenye stage...
Kama mlivokuwa mnafanya kwa Rais Kikwete, mfanyieni sherehe ya kuzaliwa Rais John Magufuli!
Ukaribu wenu na CCM/Rais ulipelekea malalamiko mengi sana kwa wasanii hasa wale waliokuwa against na...
Kwa wale wapenzi wa Cold Play,
Hizi ndizo nyimbo za Cold Play ambazo zimeuza sana.
​
Fix you.
Viva la Vida.
Paradise
Magic
Fun
The Scientist
A sky full of stars
Yellow
Clocks
Every Tear...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.