Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,946
- 3,624
Ni ya kawaida sana. NimeisikilizaHabarini humu....
Jamani huyu Diamond sasa ana sifa,tena hizi sifaa zimepitiliza!
Kuna nyimbo ake hapa naisikiliza inaitwa HELLOW jamaniiii nyimbo nzuri ,inachezekaa kila kitu poa
Ni kama kamuimbia Wema Sepetu kwa haraka haraka!
Diamond atanichomea radio yangu!
Hivi kwanini nyimbo zake zinavuja? Daaa nifundisheni ku upload audio hapa ili na nyie muipate ukiweza kama una haraka sana Ni PM namba ako afu nyimbo itakufuata whatsap
Shikamoo Diamond platnumz
Usishangae mimi ni M'bena ndo maana nachanganya!Kiswahili bado shida kwa wabongo eeeh...
Usahihi wa lugha ni wimbo na si nyimbo,wimbo kwa maana ya umoja na nyimbo kwa maana ya wingi.
Usiku mwema.
Haya m'bena ushajifunza sasa usirudie kosa tena eeenh!!.Usishangae mimi ni M'bena ndo maana nachanganya!